TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

Kuna kipindi palifanyiwa maintanance pakavunjwa mpaka chini na manispaa 2018 kama sikosei...
 
Ila umenielewa?
Mtoto wa kiume pambana na walifanikiwa wasifie tu bila kinyongo na kama unahisi wanafaa kwako kuwa mfano basi, soma hustle zao ujaribu kupita humo.
Ku-copy na kutwist kidogo njia za hustle SIO DHAMBI.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Sijapinga mkuu nimetoa maoni tuu
 
Huyu aliridhi hiyo bar au ni muanzilishi maana kwa umri ulotajwa hapo juu na mdau sidhani kama angeweza kuwa na nyumba pale katikati idodomya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…