Nimemuangalia mra mbili mbili je huyo ndo mtu wa 1989? yaani umri wake ni miaka 35? hapana huyu ni kwenye 40s alafu mbona anafanana na mkurugenzi wa Mwika Bar dar es SalamIla jamaa kama ndo huyu amevuka miaka 30, kama walivyo sema hiyo nikama 40s sio 30s.
Ila watanzania Jamani!!!Rip - hapo kinachofatia ni kugombania mali na mwisho chako ni chako itabaki jina hapa ndo tunajifunza success is about good management on top
Wachagga mara nyingi wana vichwa vya kufanana vipana duara vyenye makomwe, kwahiyo kufanana nikawaida usishangaeNimemuangalia mra mbili mbili je huyo ndo mtu wa 1989? yaani umri wake ni miaka 35? hapana huyu ni kwenye 40s alafu mbona anafanana na mkurugenzi wa Mwika Bar dar es Salam
Inawezekana ni ukweli ndo hulika ya huko kibosho kuna mzee mmoja namfahamu shughuli zake anafanya mwenyewe yeye meneja, yeye cashier, yeye supervisor, yeye auditor yaani ni full tafrani mkoloni huyo.Kibosho-Moshi kuna fundi mmoja alikuwa anajenga bila kuwa na msaidizi.
Hii ni hulka ya Wachagga wengi haswa wa Kibosho. Kutaka kufanya kila jambo mwenye
mkumbukeni Mungu mngali hai. imagine, unamiliki baa za malaya, walevi, unakufa bila kutubu, unapokelewa motoni moja kwa moja. unaungua milele. msije mkaja kusema hatukuwaambia. andaa maisha yako ya kesho, ya sasa yanapita.Pumzika mpambanaji, ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.
Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Avec hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.
Mdogo sana, wa mwaka 88 au 89 kama sikosei.
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.
View attachment 3142700
View attachment 3142627
View attachment 3142705
Mbona pdidy umeandika as if tayari kuna mgogoro? au ndo uchawi babu?kawekeza kijana
Slafu utashangaa ndugu wanajiinua kwente mirathiiiii
WWachagatuwache familia yake irithi malizake
AminaMungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu mnachopitia😭😭😭
Yote ni mipango ya Mungu 🙏🙏
Pale nilimaanisha kumchumbia...ila nikakuta watu washa-quote.mbona huk9 juu umesema ameoa mwaka jana na sherehe Ikafanyika kwenye apartment zake?? huku chini unasema ndoa ilikua iwe dec mwaka huu .
Au pia nadhani Dodoma matuta ya barabarani hayapo ya kutosha auDuh! Pole kwa wafiwa . Hii taarifa imeniletea kumbukumbu mbaya dah! Nimekumbuka hapo karibia na hizo studio za redio kama unaelekea uwanja jamhuri enyewe niliponea kifo hivi hivi na wenzangu tukiwa kwenye harrier baada ya mlevi alokuwa akituendesha kuivaa semi trailer kwa nyuma.
Na ww unapenda kushahihisha wenzako typing error izoKutiza❌
Kutoza✅
Toa kibanzi kwenye jicho lako kwanza
Inamaana hakuwa na mtoto Godi makoi?Thubutu, na hivi hajazaa nae labda huruma za waliotaka kuwa mkwewe
Poleni sanaAmina
🙏🙏🙏🙏
Sijui wazazi wake wana hali gani jamani.
Hakuwahi kumaliza miezi 3 bila kwenda kwa wazazi wake.
Tangu nimemfahamu, hakuna Christmas na mwaka mpya aliyoilia Dodoma au Dar, ni kwa wazazi wake tu.
Huu msiba tunauona wa kawaida huku Dodoma, ila sijui hali ya kule kwao ipoje.
Mungu awape nguvu wazazi wake.
Year 2024 with all the infos kwenye viganja vyetu 24/7 bado tunajiaminisha UWONGO!Hapa ndipo wahindi wanatupiga gap kubwa. Akifariki Boss mwenyewe, waliobakia hawateteleki miradi na biashara zinaendelea kama kawaida.