Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 1,292
- 2,382
Nimemuangalia mra mbili mbili je huyo ndo mtu wa 1989? yaani umri wake ni miaka 35? hapana huyu ni kwenye 40s alafu mbona anafanana na mkurugenzi wa Mwika Bar dar es SalamIla jamaa kama ndo huyu amevuka miaka 30, kama walivyo sema hiyo nikama 40s sio 30s.