zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
kwani kuoa mwaka jana inazuia kuwa na wake wa 3 na watoto 11Acha uongo. Kaoa mwaka jana, na ndoa yake ilifanyika Nkuhungu kwenye apartments zake.
mimi bado sijaoa ina nna watoto 8
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani kuoa mwaka jana inazuia kuwa na wake wa 3 na watoto 11Acha uongo. Kaoa mwaka jana, na ndoa yake ilifanyika Nkuhungu kwenye apartments zake.
Pure black African witch craft (East African Bantu) done right in public!Mkuu ni pamoja na tabia ya kupenda kuendeleza mawazo ya wengine.
waafrika hatuna hiyo.
Huo ndo mwisho wa miradi yake.
Ni kweli kabisa, lakini huyu hakuwa highwayRIP mpambanaji...kwa jinsi barabara zetu zilivyo na madereva vichaa wasiozingatia uendeshaji salama,huwa napenda kuwausia vijana wangu waliojipata kiuchumi kuwa na permanent and experienced driver, hasa wanapokuwa kwenye safari ndefu.
Umenikumbusha platinum kwa hussein na haji .Asante Detective J
Iliyumba ikagonga nguzo kisha ikabiringika kule barabara ya kwa waziri mkuu alikokuwa anaelekea kwake.
Nahisi alichukua gari ya rafiki yake kwa maana yeye binafsi ana gari 2, Harrier new model na Prado.
Ila kifo kikikuita, haijalishi uko na gari yako au ya mwenzako.
Nawaza je, Chako ni chako bar pamoja na ya kule Iringa road (The Avec) zitapata wasimamizi wazuri, maana mdogo wake wa tumbo moja Richard ambae alikuwa anamfundisha kazi, huu mzigo kwake utakuwa mkubwa sana, sidhani kama atauweza, labda aache pombe🍺🥃
God bado alikuwa anapambania ndoto zake kijana wa watu.
Wahudumu wengi walioko sijui Platinum, Rainbow, Bambalaga, Waswano, The Bistro... wote walipitia hapo Chako ni chako (kabla ya God kumiliki)
Kijana alikuwa anapambania ndoto zake ww!!!!..... huna zako.......
Wahindi pia Wana hii kasumba..Inawezekana ni ukweli ndo hulika ya huko kibosho kuna mzee mmoja namfahamu shughuli zake anafanya mwenyewe yeye meneja, yeye cashier, yeye supervisor, yeye auditor yaani ni full tafrani mkoloni huyo.
Anhsante sana kwa tahadhari, kama ni hivo huo mji ni wa hovyo sana. Mimi napendaga sana Dar ingawa siishi kule. Ni Jiji ambalo unaweza kujiachia just to your capacity.Pombe mtumish
Nakusihi sana kuna life style flan hivi kwenye maisha haifai kabisa
Hata kuchomana visu na kuuana dodoma ndo inaongoza
Dodoma ni mkoa wenye vijana wajinga sana
Mtu anaweza kukuta umesimama na mdada huna hili wala lile unashangaa tu una kisu cha tumbo
Unakuta kijana alikuwa na demu wake miaka miwili iliyopita wakatengana kesho na kesho kutwa wewe ukianzisha naye mahusiano anaanza kukuwinda huyo x wake bila sababu yeyeto
Motoni unukujua? Au ni hadithi?mkumbukeni Mungu mngali hai. imagine, unamiliki baa za malaya, walevi, unakufa bila kutubu, unapokelewa motoni moja kwa moja. unaungua milele. msije mkaja kusema hatukuwaambia. andaa maisha yako ya kesho, ya sasa yanapita.
Hizi nimesikiq sana hapo DomPombe mtumish
Nakusihi sana kuna life style flan hivi kwenye maisha haifai kabisa
Hata kuchomana visu na kuuana dodoma ndo inaongoza
Dodoma ni mkoa wenye vijana wajinga sana
Mtu anaweza kukuta umesimama na mdada huna hili wala lile unashangaa tu una kisu cha tumbo
Unakuta kijana alikuwa na demu wake miaka miwili iliyopita wakatengana kesho na kesho kutwa wewe ukianzisha naye mahusiano anaanza kukuwinda huyo x wake bila sababu yeyeto
Serious ,?kaacha wake 3 na watoto 11
Sasa kwanini ukubali kuendeshwa na mlevi?Duh! Pole kwa wafiwa . Hii taarifa imeniletea kumbukumbu mbaya dah! Nimekumbuka hapo karibia na hizo studio za redio kama unaelekea uwanja jamhuri enyewe niliponea kifo hivi hivi na wenzangu tukiwa kwenye harrier baada ya mlevi alokuwa akituendesha kuivaa semi trailer kwa nyuma.
Uwe nao makin sana mtumishAnhsante sana kwa tahadhari, kama ni hivo huo mji ni wa hovyo sana. Mimi napendaga sana Dar ingawa siishi kule. Ni Jiji ambalo unaweza kujiachia just to your capacity.
Ooh basi nikajua ulikuwa kidem chakeNamfahamu kwa sababu alishawahi kuwa shemeji yangu kwa dada Manka.
God alikuwa na pesa, ila alikuwa mcheshi na wakati mwingine akikasirika kaa mbali nae sana
Ni mtu anayekunywa pombe, tena mnywaji mzuri tu yeye na kampani ya wachaga wenzake ila alifanya maendeleo makubwa sana.
Ana asset's nyingi tu.
Kampani yake wote walikuwa wana biashara zao na maisha yao.
Watalia sana maana walikuwa kila sehemu wako wote.
Poleni sana Godi umeme, Mwacha, Dennis na Imma wa SaturdayBar
Povu ni la baba yakoKwa hiyo hutaki tupewe taarifa?
Tupe wewe basi maana ninaona unatokwa povu bila sababu!
Mzee kawaida TU usipokua mwanaume mzembe ukipata nafasi wewe fyatua TU.Serious ,?
Ubarikiwe mtumishi, angalau siishi kwenye Mkoa huo. Naendaga kila mara kwa mishemishe za hapa na pale.Uwe nao makin sana mtumish
Mimi nimekaa hapo dodoma napajua na nina wajua
Vijana wengi sana tumepoteza kwa kuchomana visu dodoma
Maarufu kwa kuku na nyama chamo sio malayaChako ni chako si ndo sehemu maarufu kwa malaya wanaojiuza hapo dom ? Au siyo pale?
Wachaga hawapo hivyo nakuambia itasimama imaraRip - hapo kinachofatia ni kugombania mali na mwisho chako ni chako itabaki jina hapa ndo tunajifunza success is about good management on top
Hii ajali imetokea Dodoma wapi na imesababishwa na nini?Pumzika mpambanaji, ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.
Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Avec hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.
Mdogo sana, wa mwaka 88 au 89 kama sikosei.
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.
View attachment 3142700
View attachment 3142627
View attachment 3142705