TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

Mkuu ni pamoja na tabia ya kupenda kuendeleza mawazo ya wengine.
waafrika hatuna hiyo.
Huo ndo mwisho wa miradi yake.
Pure black African witch craft (East African Bantu) done right in public!

Shameless creatures!




Pascal Mayalla aliwahi kuleta topic humu kuwahusu “Prophets Of Doom”, google it please.
 
RIP mpambanaji...kwa jinsi barabara zetu zilivyo na madereva vichaa wasiozingatia uendeshaji salama,huwa napenda kuwausia vijana wangu waliojipata kiuchumi kuwa na permanent and experienced driver, hasa wanapokuwa kwenye safari ndefu.
Ni kweli kabisa, lakini huyu hakuwa highway
Asante Detective J
Iliyumba ikagonga nguzo kisha ikabiringika kule barabara ya kwa waziri mkuu alikokuwa anaelekea kwake.
Nahisi alichukua gari ya rafiki yake kwa maana yeye binafsi ana gari 2, Harrier new model na Prado.

Ila kifo kikikuita, haijalishi uko na gari yako au ya mwenzako.
Nawaza je, Chako ni chako bar pamoja na ya kule Iringa road (The Avec) zitapata wasimamizi wazuri, maana mdogo wake wa tumbo moja Richard ambae alikuwa anamfundisha kazi, huu mzigo kwake utakuwa mkubwa sana, sidhani kama atauweza, labda aache pombe🍺🥃
God bado alikuwa anapambania ndoto zake kijana wa watu.

Wahudumu wengi walioko sijui Platinum, Rainbow, Bambalaga, Waswano, The Bistro... wote walipitia hapo Chako ni chako (kabla ya God kumiliki)
Umenikumbusha platinum kwa hussein na haji .
 
Pombe mtumish

Nakusihi sana kuna life style flan hivi kwenye maisha haifai kabisa

Hata kuchomana visu na kuuana dodoma ndo inaongoza

Dodoma ni mkoa wenye vijana wajinga sana

Mtu anaweza kukuta umesimama na mdada huna hili wala lile unashangaa tu una kisu cha tumbo

Unakuta kijana alikuwa na demu wake miaka miwili iliyopita wakatengana kesho na kesho kutwa wewe ukianzisha naye mahusiano anaanza kukuwinda huyo x wake bila sababu yeyeto
Anhsante sana kwa tahadhari, kama ni hivo huo mji ni wa hovyo sana. Mimi napendaga sana Dar ingawa siishi kule. Ni Jiji ambalo unaweza kujiachia just to your capacity.
 
Pombe mtumish

Nakusihi sana kuna life style flan hivi kwenye maisha haifai kabisa

Hata kuchomana visu na kuuana dodoma ndo inaongoza

Dodoma ni mkoa wenye vijana wajinga sana

Mtu anaweza kukuta umesimama na mdada huna hili wala lile unashangaa tu una kisu cha tumbo

Unakuta kijana alikuwa na demu wake miaka miwili iliyopita wakatengana kesho na kesho kutwa wewe ukianzisha naye mahusiano anaanza kukuwinda huyo x wake bila sababu yeyeto
Hizi nimesikiq sana hapo Dom
 
Duh! Pole kwa wafiwa . Hii taarifa imeniletea kumbukumbu mbaya dah! Nimekumbuka hapo karibia na hizo studio za redio kama unaelekea uwanja jamhuri enyewe niliponea kifo hivi hivi na wenzangu tukiwa kwenye harrier baada ya mlevi alokuwa akituendesha kuivaa semi trailer kwa nyuma.
Sasa kwanini ukubali kuendeshwa na mlevi?
 
Anhsante sana kwa tahadhari, kama ni hivo huo mji ni wa hovyo sana. Mimi napendaga sana Dar ingawa siishi kule. Ni Jiji ambalo unaweza kujiachia just to your capacity.
Uwe nao makin sana mtumish

Mimi nimekaa hapo dodoma napajua na nina wajua

Vijana wengi sana tumepoteza kwa kuchomana visu dodoma
 
Namfahamu kwa sababu alishawahi kuwa shemeji yangu kwa dada Manka.
God alikuwa na pesa, ila alikuwa mcheshi na wakati mwingine akikasirika kaa mbali nae sana
Ni mtu anayekunywa pombe, tena mnywaji mzuri tu yeye na kampani ya wachaga wenzake ila alifanya maendeleo makubwa sana.
Ana asset's nyingi tu.

Kampani yake wote walikuwa wana biashara zao na maisha yao.
Watalia sana maana walikuwa kila sehemu wako wote.
Poleni sana Godi umeme, Mwacha, Dennis na Imma wa SaturdayBar
Ooh basi nikajua ulikuwa kidem chake
 
Pumzika mpambanaji, ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.

Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Avec hii imefunguliwa mwaka huu mwanzoni na ina vibe si la kitoto.

Mdogo sana, wa mwaka 88 au 89 kama sikosei.
Ajali inamaliza ndoto za vijana wengi Duniani.
View attachment 3142700
View attachment 3142627
View attachment 3142705
Hii ajali imetokea Dodoma wapi na imesababishwa na nini?
 
Back
Top Bottom