Niliwahi safiri nayo mara kadhaa...Singida to Dar....nikiwa kijana mdogo sana...10yrs...naikumbuka mpaka leo...ilikua Chuma haswaa!!Really no challenge hiyo. Long time 1996 ilitesa sana ruti ya Dar Singida.
Nimepitia hizo koments, inaonyesha ilikuwa No chalenji, really no chalenji, air shengena...tashriffHabari ya hilo basi kubadili jina baada ya ajali toka No Challenge i na kuitwa Tashriff ilikuwa kubwa na magazeti mengi yaliweka front page . Bahati mbaya internet ndio kwanza ilikuwa bado haijainea Tanzania
ila unaweza kucheck huu uzi pitia comment utaona https://www.jamiiforums.com/threads...ketea-kwa-moto-pongwe-muda-huu.1325658/page-2
Kwa Mengi tatizo ni mke mdogoMzee Mengi alikua wa uswazi?
Ulikuwa hujazaliwaHii Tashreef mbona iko miaka mingi sana nyuma kabla ya ajali au nimekosea?
Yap ye alikuwa hajui kuswim π€£π€£dah nimekumbuka enzi hizo tunaogelea mtoni π€£π€£Yaani mwanamke ndiye aliyeokoa watu mtoni au mimi kimalkia changu ni butu? (One of our made great efgorts to swim and she saved some lives.)
Siwezi kuongea Sana Ila Kama hujawahi kuona familia za namna hiyo basi sikulaumu maana sikujui.Huko ndio balaa
Nipe mifano miwili tu wa hao waswahili wasio wa Uswazi ambai walijufa na hakukuwa na shida kwenye mirathi
Mbona unesisitiza sana hapo kwenye umri?π€£π€£Niliwahi safiri nayo mara kadhaa...Singida to Dar....nikiwa kijana mdogo sana...10yrs...naikumbuka mpaka leo...ilikua Chuma haswaa!!
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Mtu mzima nadhani above 70RIP kwake,alikuwa na umri gani?π€
No Challenge wakati ule linapata ajali hawakubadili jina na kuliita Shengena au Air Bus! ule mziki ulifatana na ajali ya moto Shauri Tanga Sec school kama sijakosea.Hii ajali ilitokea karibu miaka 25 sasa kama sijapoteza kumbukumbu, na baada ya hiyo ajali ndipo jina likawa Tashrif
Niliwahi safiri nayo mara kadhaa...Singida to Dar....nikiwa kijana mdogo sana...10yrs...naikumbuka mpaka leo...ilikua Chuma haswaa!!
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Ya mto Karanga Moshi? Naikumbuka sana
Commerce na bookeeping inawasaidia sanaPole kwa wafiwa
Ngozi nyeupe hiyo huwa hawana shida kabisa akifa watoto wanaendesha biashara bila Shida
Angekufa mswahili saa hii hata maiti wangekuwa hawahangaiki nayo wanajadili mirathi na kutembezeana vipigo na kuficha mali kila.mtu akificha anachoweza
Hqpo bado ndugu waswahili nao utakuta mbio kuja kudandia mirathi
Weupe hawana Shida mzee ASAS wa ASAS group of Companies alifariki lakini cheki kampuni inakwenda bila shida
Watoto wanaiendesha vizuri
Afe mswahili watagombania mirathi hadi sufuria na vijiko na nguo zake hadi za ndani
Angeenda nayo kule Nako usafiri unahitajika jamaniINNALILLAH WAINA I LAIHI RRAJIUN
RIPAngeenda nayo kule Nako usafiri unahitajika jamani
Ile haikuwa shengena kweli?Bado tunaikumbuka ajali ya basi lake la "No Challenge" lililotumbukia mtoni likijaribu kuvuka daraja lililofunikwa na maji wakati wa mvua na kuua abiria karibu wote waliokuwemo (zaidi ya abiria 70 walikufa) likitoka Tanga kwenda Dar mmiliki akaona abadilishe jina la no challenge na kuyaita Tashriff.