Mmiliki wa Mabasi ya Esther Luxury ni Joseph Ngeleuya

Sawa Lameck Madelu tumekusoma
 

Nafikiri ni haki ya kila mwananchi kuhoji kitu chochote anachokitilia mashaka, na kinachotakiwa siyo kumtukana anayehoji au kumwambia ana wivu bali kuja na maelezo jinsi Ndugai na Mwigulu walivyopata uwezo wa kumiliki mali au biashara kubwa kama hizo. Ikielezwa kila mtu ataona nayeamini ataamini asiyeamini hataamini, lakini kuwakingia kifua ni dalili ya kuonyesha huend kuna kaaukweli.
Naona kuna mtu amesema amekuja na proof ya umiliki wa hayp mabasi, lakini sijaona alicholeta ni concrete proof. Kuwa mkurugenzi mkuu wa kampuni siyo lazima kampuni iwe yako. Unaweza ukawa mwajiriwa. Unaweza ukawa hata share holder mwenye share kidogo. Kama kweli ungetaka kutupatia uthibitisho labda ungeleta official list ya owners jinsi ilivyoandikishwa RITA na kila mmoja ana share kiasi gani. Huyo kijana mpiganaji anaweza akapewa 1% shares huku 99% ni za Ndugai na Mwigulu.
 
Nani kakuuliza? Alie kutuma mwambie hata jina analo tumia sio lake. Na watu wanajua.
 
Acha upunguani, tokea lini uliona jina la mwanasiasa katika biashara? Acha kuwa pumbafu ww, all politicians wanawaweka watu wao wanaowaamini katika biashara zao na majina yao kamwe hutaona, kichwa maji ww umeelewa?
 
Acha upunguani, tokea lini uliona jina la mwanasiasa katika biashara? Acha kuwa pumbafu ww, all politicians wanawaweka watu wao wanaowaamini katika biashara zao na majina yao kamwe hutaona, kichwa maji ww umeelewa?
Dah[emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…