TANZIA Mmiliki wa Mabasi ya Marangu Coach afariki dunia Hospitali ya Aga Khan

Binti bado yupo sec mkuu hyo ilikuwa siku ya harusi ya ndugu, bt bint na hyo kaka yake bado wako sec ingawa shule yao wanatumia silabus ya majuu.
 
Yaonekana unawafaham kwa ukaribu mkuu, Mungu ampe pumziko jema, watoto wake ni nechi na necha.
 
Wakuu ebu tuwe wazi hv korona ipo ama imekwisha mm nipo katikati sielewi kabisa!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…