TANZIA Mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) afariki

Asante ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa post omba moderator warekebishe taarifa yako
 
Gone too soon.. Rip
Jr[emoji769]
 
Nadhani walikuwa wanamaanisha dar street ya Moshi na siyo vinginevyo mkuu

$ There's clear light at the end of the Tannel $
 
Msingi wa hii habari ni kifo cha mmiliki wa mabasi ya sahara na wewe unakiri jamaa amefariki kweli, kwahiyo hapa haukanushi hii habari bali umeiweka hii habari sawa.
Inawezekana pia alifikia guest kujipumzisha lkn ndio umauti ukamkuta akiwa huko lkn kutokumfiria marehemu vibaya familia au watu wake wakaribu wakaamua kukataa hajafia guest
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…