Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Kwa maana hiyo gest ni kwaajili ya zinaa?Gesti ni kwa wazee wa shoti taimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maana hiyo gest ni kwaajili ya zinaa?Gesti ni kwa wazee wa shoti taimu.
Sawa mkuu nimekupata vilivyo.Sidhani....Mzee wake alikua dereva enzi ya vyama vya msingi vya kununua kahawa..alianzia mbali mpaka kupata jina..mtoto nae akaendeleza japo sio muda mrefu.
Amerithi kutoka kwa nani?Haya mabasi amerithi lakini
47.....mabasi nakumbuka mara ya kuyapanda....Moshi to usangi Ni 97......angalia umri wake......Amerithi kutoka kwa nani?
Hahahahaaa
Viagla zinatumaliza mkuu. Kubali piga ka1 lala. Madawa ya nini na mademu wa siku hizi tunalipia? Kama hajaridhika asubuhi atamtafuta wa kumridhisha. Wewe umetema mate mara1 vuta shuka jifunike lala. Hayo mashimo hayatosheki hayo. Lilikupitisha wewe utalilidhisha kweli!!
Muhimu pia tuwe tunapia afya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kunisaidia kujua umeandika nini?47.....mabasi nakumbuka mara ya kuyapanda....Moshi to usangi Ni 97......angalia umri wake......
I mean he is 47.....mabasi mara ta kwanza nimepanda akiwa 24 mwaka 1997....so amerithi Mali hiiUnaweza kunisaidia kujua umeandika nini?
We jamaa47.....mabasi nakumbuka mara ya kuyapanda....Moshi to usangi Ni 97......angalia umri wake......
Nimekuuliza aliyarithi kwa nani? Sijataka kujua umeyapanda au kuyaendesha.I mean he is 47.....mabasi mara ta kwanza nimepanda akiwa 24 mwaka 1997....so amerithi Mali hii
Umeniandaa kutekwa na kupotezwa?? Au kuvaliswa kanga moja kwa siku 8 na wanaume wenzako huku wakiwa nawewe sambamba usiku na mchana??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu
Unajua duniani hapa hatuishi ishi tu kwa kudura za bwana mawe au wewe!
Mawe na wewe ni raia kama walivyo wanadamu wengine wote
Duniani wanadamu tunaishi kwa haki enshrined UN na national constituion yetu hapa!
Na another thing,mkija kunichukua na wewe jiandae,aidha mimi au wewe!
Usije dhani wanadamu wote ni wasenge wanasubiri polisi mvuja jasho matakoni aje ambebe kiduwanzi kama unavyofikiri
Na the good thing nipo nchi ni basic human right to bare arms
Karibu kwenye basement yangu nipo na ammunitions robo ya bajeti yenu hapo
Viazi nyie
Nasema hayo ni maneno yako umesema siyo yangu.Wewe hujasema kuwa kufa chini ya miaka 70 si mpango wa Mungu. Kwa maana hiyo unataka kusema amekufa kifo cha shetani.
Wa adhabu ya kaburi na jahanam apate kwenda kuonana na Allah