Na hiko ndicho kitakachoua biashara yake, mwendokasi. Watu watazikimbia kuepuka vifo na ulemavu. Atabaki na wapiga debe na miluzi.Kilichoanza kuwapa umaarufu ni sped hata bosi anajua kuna siku alihojiwa.na itv akasema mabas yake hayakimbii ila nivile niyakisasa
Utajiti wa nyanda za juu kusini unajulikana!!! MPE miaka mitano huyo mwamba wenu!!! Kuku alimeza mahindi matano!!!ila huyo mwamba ni tycoon kishenzi,
hiyo biashara ya mabasi ni sehemu ndogo sana ya utajiri wa huyo mheshimiwa
Hivi karne hii kuna watu bado husifia magari yanayokimbia!!! Huwa nashangaa sana!!!Madereva wanaponzwa na mashabiki wanaopenda ligi za mabasi
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ushamba utawamaliza watz!!!/kumiliki Mali hakuzuii kupokea ushauri wa wateja jamani!??/mmesomea wapi!?Kweli tuulizane mapema, mfano mimi na degree zangu nane, wewe darasa la sita B huko Naliendele utanishauri nini kwa mfano. Nenda kale makande huko ulale.
Bongo ukiwa na pesa tafsiri rahisi ni kuwa una akili wewe, mjanja wewe, unajua kila kitu. Kumshauri mwenye hela wakati unanuka njaa, unaweza kula makofi mchana kweupe.Ushamba utawamaliza watz!!!/kumiliki Mali hakuzuii kupokea ushauri wa wateja jamani!??/mmesomea wapi!?
Hivi unadhani kuna MTU mwenye akilia atapanda gari likimbialo bila sababu apoteze maisha au apate ulemavu!??
Kiswele na Zainabu ilikuwa hatari sanaWalikuwepo akina Zainabs, Scandnavia, Kiswele. Enzi hizo Greek akikalia usukani, acheni jamani. Ukweli uko pale pale, speed kali zinaua. Nukta kubwa.
Malizia tu.... njia gani ndugu Mshana Jr? 😊😊😊Hizo ajali sio za makusudi wala bahati mbaya...zina mkono usioonekana. Kuna kitu kinaitwa KUZINGATIA MASHARTI hasa kama mali zenyewe umezipata kupitia njia zetu zile.. Sauli anapotea muda si mrefu
Hata kwenye familia zetu mambo haya yapo. Mwanafamilia mwenye fedha ndiye anasikilizwa hata kama ni bongolala, maadamu tu ana pesa. Wewe kapuku hata ukiwa na mawazo mazuri utapuuzwa.Bongo ukiwa na pesa tafsiri rahisi ni kuwa una akili wewe, mjanja wewe, unajua kila kitu. Kumshauri mwenye hela wakati unanuka njaa, unaweza kula makofi mchana kweupe.
Usijali nitawasiliana na mwanae BSAMabasi ya Sauli yanayofanya safari zake kuelekea mikoa ya Nyanda za juu Kusini hakika yalijipambanua ni ya uhakika na salama.
Ajabu kwa siku za hivi karibuni ndiyo mabasi yanayoongoza kwa ajali za ovyo ovyo zinazosababishwa na uzembe wa madereva.
Mliopo karibu na mmiliki wa mabasi ya Sauli mwambie asipowekeza kwa madereva makini hiyo biashara yake inaenda kufa kifo kibaya kabisa.
Fikiria ndani ya miezi mitatu alishapata hasara ya basi jipya kabisa ambalo liliisha na matatu yaliyopata ajali na kuharibika kabisa.
Analima Mahindi huko swangaSumry Haipo Tena Kwenye Biashara
Biblia inasema "" Hekima ya maskini haisikilizwi"" period.Hata kwenye familia zetu mambo haya yapo. Mwanafamilia mwenye fedha ndiye anasikilizwa hata kama ni bongolala, maadamu tu ana pesa. Wewe kapuku hata ukiwa na mawazo mazuri utapuuzwa.
kulikuwa na basi linaitwa Masia Tours, hukohuko Mbeya/Tunduma, sifa yake ni Mwendo wa kasi sana, dereva wake alikuwa anakula elfu kumikumi wakati huo kila anapofika stendi kuu mbeya. Halikudumu.Sifa ya Mabasi ya SAUL ni mwendo kasi na kwa kadri ya kumbukumbu zangu hakuna basi la mikoani lililoendeshwa kwa mwendo kaai lilidumu
Mmiliki wa mabasi ya sauli Ni Nani?
Kama ni jina tayali analo angejikita kwenyeMabasi ya Sauli yanayofanya safari zake kuelekea mikoa ya Nyanda za juu Kusini hakika yalijipambanua ni ya uhakika na salama.
Ajabu kwa siku za hivi karibuni ndiyo mabasi yanayoongoza kwa ajali za ovyo ovyo zinazosababishwa na uzembe wa madereva.
Mliopo karibu na mmiliki wa mabasi ya Sauli mwambie asipowekeza kwa madereva makini hiyo biashara yake inaenda kufa kifo kibaya kabisa.
Fikiria ndani ya miezi mitatu alishapata hasara ya basi jipya kabisa ambalo liliisha na matatu yaliyopata ajali na kuharibika kabisa.
Unakosea.Jua kuwa BIMA wanahusika na kila ajali
Yupo, kwasasa amehamia kwenye kilimoHivi Sumry bado yupo?
Kwahiyo suggestion box "masanduku ya maoni yaliyopo kwenye makampuni makubwa ni upuuzi!?? Wewe ni mshamba mark my words my friend hata elimu huna!!! Na kwa kutegemea utajiri wa kuua ndugu nyanda za juu mtasubiri saaaana!!!Bongo ukiwa na pesa tafsiri rahisi ni kuwa una akili wewe, mjanja wewe, unajua kila kitu. Kumshauri mwenye hela wakati unanuka njaa, unaweza kula makofi mchana kweupe.
Hawa watu ni washamba hawawezi kikuelewaKiswele na Zainabu ilikuwa hatari sana