Mmoja Afariki, Wanne Walazwa Wakishindana Kunywa Pombe Moshi

Huo mkoa ndo mana viribatumbo haviwaishi kheee.
 
Umasikin ni mbaya sana mungu atusaidie, unadhalilika na kukumbwa na magonjwa nyemelezi Kwa kukosa lishe bora mwisho unakuwa mwehu kama walimu
Mods mpigeni ban ya maisha huyu mtu analidhalilisha Sana kundi la walimu. Au twende mahakamani mkathibitishe wehu wa walimu wa nchi hii? Na kwani mnaruhusu haya kuruka?
 
Hao ndio wachaga huwezi kuwakuta wako kwenye mashindano ya riadha au mpira

Wao nashindano yao.makubwa kunywa pombe hasa wanaume

Wanawake wa kivhaga wako poa sana wengi sio chapombe kama wanaume

Mbowe shahidi ninaloongea abishe kama na yeye sio chapombe
 
Idd Amin dada" if you overdrank u feel bored , but if u take little alcohol u feel happy & proud !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…