much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
SureChache ka unapiga kistarehe ile ado ado ila ka unapiga chapu kwa haraka lazma upate "alcohol overdose" kifo nje nje...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SureChache ka unapiga kistarehe ile ado ado ila ka unapiga chapu kwa haraka lazma upate "alcohol overdose" kifo nje nje...
Huo mkoa ndo mana viribatumbo haviwaishi kheee.Mtu mmoja amefariki dunia, huku wengine wanne wakinusurika kifo wakati wakishindana kunywa pombe kali aina ya 'Smart Gin', baada ya kuahidiwa kupewa mkate, sukari na Sh50,000 kwa atakayeshinda.
Tukio hilo limetokea Juni 8, 2023 katika kata ya Sanya Juu, wilayani Siha Mkoa wa Kilimanjaro, baada ya watu hao kuahidiwa na mtu anayedaiwa kuwa mfanyabiashara wilayani humo, ambaye sasa ametoroka.
Inadaiwa kuwa mtu huyo aliwaahidi kuwapa zawadi hizo na mpaka mmoja anafariki walikuwa wameshakunywa chupa tano kati ya tisa zilizokuwa zikishindaniwa.
Hata hivyo, baada ya kumaliza kunywa chupa tano hali zao zilianza kuwa mbaya na wengine kupoteza fahamu ambapo baadaye waliokolewa kwa kukimbizwa katika Hospitali ya Wilaya ya Siha kupata msaada wa dharura.
Mkuu wa wilaya ya Siha, Christopher Timbuka alimtaja aliyepoteza maisha kuwa ni Benson Mshiri, mkazi wa Kijiji cha Merad na kwamba waliolazwa hali zao zinaendelea vizuri baada ya kupatiwa matibabu na muda wowote wataruhusiwa kwenda majumbani.
Mwananchi
Tano watu watatu,mbona chache,nasikia zimekuja kubwa Kama bapaTatizo ni lishe smart gin Tano ni chache sanaa
naskia unatumia jobohahaha bahat situmii smart gin
oy bro mbona hukunichek?
naskia unatumia jobohahaha bahat situmii smart gin
oy bro mbona hukunichek?
Kunauwezekano mkubwa hata hilo shindano lilianzia hapa.Shida hapo ilikuwa chakula,smat Gin ukila vizuri unapiga hata chupa kumi bila shida
Mods mpigeni ban ya maisha huyu mtu analidhalilisha Sana kundi la walimu. Au twende mahakamani mkathibitishe wehu wa walimu wa nchi hii? Na kwani mnaruhusu haya kuruka?Umasikin ni mbaya sana mungu atusaidie, unadhalilika na kukumbwa na magonjwa nyemelezi Kwa kukosa lishe bora mwisho unakuwa mwehu kama walimu
Hao ndio wachaga huwezi kuwakuta wako kwenye mashindano ya riadha au mpiraMtu mmoja amefariki dunia, huku wengine wanne wakinusurika kifo wakati wakishindana kunywa pombe kali aina ya 'Smart Gin', baada ya kuahidiwa kupewa mkate, sukari na Sh50,000 kwa atakayeshinda.
Tukio hilo limetokea Juni 8, 2023 katika kata ya Sanya Juu, wilayani Siha Mkoa wa Kilimanjaro, baada ya watu hao kuahidiwa na mtu anayedaiwa kuwa mfanyabiashara wilayani humo, ambaye sasa ametoroka.
Inadaiwa kuwa mtu huyo aliwaahidi kuwapa zawadi hizo na mpaka mmoja anafariki walikuwa wameshakunywa chupa tano kati ya tisa zilizokuwa zikishindaniwa.
Hata hivyo, baada ya kumaliza kunywa chupa tano hali zao zilianza kuwa mbaya na wengine kupoteza fahamu ambapo baadaye waliokolewa kwa kukimbizwa katika Hospitali ya Wilaya ya Siha kupata msaada wa dharura.
Mkuu wa wilaya ya Siha, Christopher Timbuka alimtaja aliyepoteza maisha kuwa ni Benson Mshiri, mkazi wa Kijiji cha Merad na kwamba waliolazwa hali zao zinaendelea vizuri baada ya kupatiwa matibabu na muda wowote wataruhusiwa kwenda majumbani.
Mwananchi
Watauwa Waalimu hao.Umasikin ni mbaya sana mungu atusaidie, unadhalilika na kukumbwa na magonjwa nyemelezi Kwa kukosa lishe bora mwisho unakuwa mwehu kama walimu
Jobo ndio nini mkuunaskia unatumia jobo
haha Banana sijawah kunyw 🤣 hata vimoraliMbege ndio Nzela ( Banana)?
Kwenye huo msiba ntaenda na PARACHICHI la kulia walipromota apeleke tu hiyo 50k ikasaidie msibani
Acha uongo!aft10minutes akatapika damu mambonge mabonge ( kwa observation yangu isiyo ya kidaktari ni Maini yamekatikakatika) na akawa no more in20 minutes.
ni liquid chocolateJobo ndio nini mkuu
Idd Amin dada" if you overdrank u feel bored , but if u take little alcohol u feel happy & proud !!Mashindano ya kijinga na kipuuzi sana. Classmate wangu moja pia majuzi mwezi April kijijini ametoka shamba kapitia kilabuni kakuta mabishano juu ya nani anaweza kumaliza k-Vant kubwa anunuliwe? Akajitokeza, na njaa yake na ulafi wake akaifakamia within 2minutes kaimaliza na aft10minutes akatapika damu mambonge mabonge ( kwa observation yangu isiyo ya kidaktari ni Maini yamekatikakatika) na akawa no more in20 minutes. Na hadidhi yake ikaishia apo.
So, Friends, ladies and gentlemen pombe si chai, na haina mashindano. Hebu kunywa kiasi kistaarabu utainjoy sana. Haiuzwi kwa aliye chini ya Miaka18. Pole kwa wafiwa, pole sana kwa ambao pia wamepata madhara baada ya kufakamia Gin.