Mmoja Afariki, Wanne Walazwa Wakishindana Kunywa Pombe Moshi

Acha uongo!
ini (liver) lipo nje ya ukuta wa tumbo.
Kwamba likatike liingie ndani ya tumbo kisha atapike?
What the Heck man!
eti baba si nimesemai kuwa ni observation yangu isiyo ya kidaktari. Aise, mbona we kijana ni mwepesi wa kuelewa sana, eti dactari!! Nashukuru kwa elimu mujarabu, pia basi ile itakua ni damu
 
kuna dogo mmoja nilimpa burudani 3 amalize nimpe elfu 20.alimaliza ila hakulala siku hyo.hana hamu mpaka leo

Burudani ni nini
 
Acha uongo!
ini (liver) lipo nje ya ukuta wa tumbo.
Kwamba likatike liingie ndani ya tumbo kisha atapike?
What the Heck man!
eti baba si nimesemai kuwa ni observation yangu isiyo ya kidaktari. Aise, mbona we kijana ni mwepesi wa kuelewa sana, eti dactari!! Nashukuru kwa elimu mujarabu, pia basi ile itakua ni damu maana hak
 
Upelelezi unaendelea
 
Wewe jamaa main yalipitaje mwenye utumbo!? Hiyo in damu tu iliyoganda
 
Wangekufa wote tu.
Mlevi akifa nafurahi sana
 
Sungura sio Dili

Sasa amekimbia Ili iwaje ,akati walikbaliana washindane kunywa na sio kufa
 
Sifa za kijinga zinatugharimu sana Wabongo.Ukiacha kupewa pesa lkn Wengine hushindana tu na kupeana sifa za kijinga.
 
ni kweli.jasho lilipoanza kumtoka mimi mwenyewe nikaanza kuogopa.
 
unazingua sana unajua nataka nikueleze kitu gani?
Nilishasahau hata tuliongea nini huku nilipo blockbuster zinanvuruga mafaili man.

Say something Mwanetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…