Mmoja Afariki, Wanne Walazwa Wakishindana Kunywa Pombe Moshi

"Smart Gin" hiziiiiiii....

Juzi Kati tu hapa jamaa yangu "aliyejikataa" baada ya maisha mazuri aliyokuwa nayo "kumkataa"....almanusura TUKAMFUKIE....ni mara ya 3 hii.....

Jamaa HALI chakula....

Jamaa AKILA chakula si cha kumshibisha....yeye "smart Gin"...."smart Gin" na yeye.....hatari sana haya maisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mashujaa/majembe ya unyanyembe hayo 🤣
 
Pombe sio chai wandugu.
 
Hizi pombe za mashindano zilimuua jamaa yangu back in 2015.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…