Hivi wakati Yaser Arafat akiwa Kiongozi wa Palestine,Hamas walikuwa wanamuunga mkono au hapana?
Nauliza hivi Kwa sababu Nina hakika Serikali yetu ingepitia Iran ambako tuna mahusiano mazuri wao Iran wangewatafuta Washirika wao Hammas wangeqaachia Vijana Wetu.
"Wizara itaendelea kuwaailiana na Israel ili kuhakikisha Watanzania wote wanakuwa salama"
Nje ya mada: Kijana alifia Gaza au Israel?
Kifo chake kimetokea lini na sababu ya kifo ni nini?
Hivi serikali ililaani ishu ya hamas kuwateka hao ndugu zetu?
Fala wewe,Hamas ndio imemuua?
Kifo Cha huyu dogo ndio kimefanya ni feel maumivu wanayopata Wapalestina Kwa kunyanyaswa na kuuwawa ndugu zao na Israel.
Nimeelewa kwamba haitakuja kutokea amani hapo Kwa sababu Nguvu ya Kisasa inakuja unatamani Bora ufe kuliko kumuona mtesi wako.
Kwanini alitekwa , kwanini hawakumuachia baada ya kumuona anatoka nchi rafiki. Au hawaijui bongo . Sisi tunajipendekeza kwao.Kauliwa na airstrike za wazayuni huyo usiwalaumu Hamas
Chadema wakitangaza maandamano hutamuona kamanda hata mmoja [emoji1787]Vita vikali vya maneno kati ya Hamas na Israel ya Tanzania...
Tanzania nchi yenye vita vya maneno
wangesema amekufa na nini ila hapo wametuacha njia panda tunaweza sema ni sababu ya vita kumbe ni mambo mengine.
pole kwa familia
Msimamo wa serikali ya Tanzania ni kuwepo kwa taifa huru la palestina. Kwahiyo umepata jibu hapo kuwa serikali inuaunga mkono harakati za wapalestina kujipatia uhuru kutoka kwa israeli.Hivi serikali ililaani ishu ya hamas kuwateka hao ndugu zetu?
Kusema tuu amefariki bila kutoa maelezo ya amefariki vipi haitoshi.
Tuliambiwa wamechukuliwa mateka Sasa mbona hamjatueleza kifo chake kimesababishwa na nini?
Semeni oparesheni ya Kisengerema ya Israel imemuua Kijana Wetu.
Hivi Israel ilishindwa kuokoa Mateka mikononi mwa Hamas ?🤔Wanatumika lugha ya kidiplomasia. Ila ukweli ni kwamba alikuwa mateka. Na mwili wake ulipatikana hapo hospitalini Shifa na majeshi ya Israel.
Msimamo wa serikali ya Tanzania ni kuwepo kwa taifa huru la palestina. Kwahiyo umepata jibu hapo kuwa serikali inuaunga mkono harakati za wapalestina kujipatia uhuru kutoka kwa israeli.
asiyemuamini Mungu yupi ?Unajua maana ya Kafir?. Kafir ni mtu asiyemwamini Mungu. Shida wewe unanitumia Kama tusi.
Sir Robert Hebu tupe nyama ya Kihistoria...Lini Palestine ilitawala na Israel......Una tarehe.....mwaka...?Msimamo wa serikali ya Tanzania ni kuwepo kwa taifa huru la palestina. Kwahiyo umepata jibu hapo kuwa serikali inuaunga mkono harakati za wapalestina kujipatia uhuru kutoka kwa israeli.
Huyu Bibi faiza nishamuona Ni kiumbe hatari Sana kwa nchi yetu na taifa letuEndelea kujivunia hali yakp ya ushetani.
Haya magaidi yamekiri kuwa mateka amefia mikononi mwao:
Most recently, Hamas said, one of the captives was moved to a facility’s intensive care unit and when he recovered, he was moved back to “his place of detention”.
But the captive died due to a series of panic attacks as a result of repeated Israeli bombardment nearby, the Qassam Brigades said. “We will release documents proving this,” the group said.
Source: AlJazeera.
Hivi Israel ilishindwa kuokoa Mateka mikononi mwa Hamas ?🤔
Sawa lakini siyo kuua watoto na kinamama.