Mmoja wa magaidi kutokea Uturuki aeleza jinsi walifuata mahubiri ya Fariduni Shamsidin kwenda kuua Warusi

Mmoja wa magaidi kutokea Uturuki aeleza jinsi walifuata mahubiri ya Fariduni Shamsidin kwenda kuua Warusi

• Kwa hicho kipande tu, nilicho quote hapo, Tayari una udini ndani yake..

• Sisi waafrika tutabaki kuwa wapumbavu milele na milele, kama tutaendelea kusikiliza dini za waarabu na Wazungu.
Hata Ulaya huo uchafu unatengwa na nyama zingine hawathubutu kuweka na mbuzi
Hata wao wanajua hilo sio upumbavu wala nini
 
Inasikitisha sana wanavyoua binadamu wenzao bila hatia
 
Hata Ulaya huo uchafu unatengwa na nyama zingine hawathubutu kuweka na mbuzi
Hata wao wanajua hilo sio upumbavu wala nini
• 😀😀, mpaka hapa nimeona unafikiria kwa kutumia mihemko..

• Kaa ukijua Nguruwe analiwa na kila mtu, nimefanya hiyo kazi , nilikuwa nawauzia masheikh, ostazi, na waarabu...

• Kitu kinachoitwa mkumbo nikibaya sana... ( mara nyingi akili huwa haitumiki kwenye maamuzi). Ndo maana waafrika tutabaki kuwa wapumbavu milele na milele.
 
• 😀😀, mpaka hapa nimeona unafikiria kwa kutumia mihemko..

• Kaa ukijua Nguruwe analiwa na kila mtu, nimefanya hiyo kazi , nilikuwa nawauzia masheikh, ostazi, na waarabu...

• Kitu kinachoitwa mkumbo nikibaya sana... ( mara nyingi akili huwa haitumiki kwenye maamuzi). Ndo maana waafrika tutabaki kuwa wapumbavu milele na milele.
Kwa hiyo na wewe kwenye wapumbavu umo?
Jifunze kitu kuna waumini na kuna waislam, tofauti ni kubwa sana Kama huijui Google itakupa maana kamili na utajua hao wanaokula ukawalisha ni watu wa aina gani
Binadamu wote sio sawa kuna watu wanaishi maisha aina mbili double life
Watakuonyesha wema wao ila wana machafu yao mengi wanayoyaficha
Wataingia sehemu zote za Ibada halafu unamkuta ana chale mpaka mgongoni
Sasa huyo anaamini shetani sio Mungu

Anaenda ibadani ila ni mzinifu mkubwa na mabaya mengi
Huyo ni mnafiki na anajionyesha kwa watu ila anaficha sura yake ya pili

Kama wewe huamini Dini yoyote basi usitukane ambao wanaamini Mungu na kufanya mema na kukataa maovu
Sio busara kutukana mtu
 
Wewe unayewajua kwenye dini yenu tuambie maana hayo mazombi yenu yanazingua sana....


1711275558785.jpeg
 
Wamezichia na hiyo mibwege inakiri, inaimba tu kama mitahira. Urusi siyo Marekani. Putin alishasema yeye jukumu lake ni kuwawaisha tu Jehanamu kwenda pata mabikra 60.

Bora kuwahishwa kuliko kufanywa hivi na wachungaji wa kikristo

1711276263877.jpeg
 
Mrusi ameanza kuichapa Ukraina kila kona anawawaisha huko unakokupigania waende
Kupata Bikra 60? Yeaaah.... Mrusi atawawaisha hawa jamaa wamerikoroga mbwa hawa. Wanadhani ni kama Mmarekani huwa anawalea Magaidi. Putin alishasema toka miaka ile anawachapa kule Afghastan kuwa yeye hana cha mswalie mtume. Anawachapa nao wawahi mabikra.
 
Ungejua ukweli wa ugaidi.nadhani usije kuja kuropoka ropoka humu
 
King leopord alikuwa mchungaji? Huyu alikuwa Congo ipi? Maana mi shule nlienda. Tofauti na wengine ambao shule ya Duniani hamtaki. Huyu alikuwa Mchungaji wa wapi?

kwani akiwakata yeye mwenye binafsi mamilioni ya watu ??
 
Kwa hiyo na wewe kwenye wapumbavu umo?
Jifunze kitu kuna waumini na kuna waislam, tofauti ni kubwa sana Kama huijui Google itakupa maana kamili na utajua hao wanaokula ukawalisha ni watu wa aina gani
Binadamu wote sio sawa kuna watu wanaishi maisha aina mbili double life
Watakuonyesha wema wao ila wana machafu yao mengi wanayoyaficha
Wataingia sehemu zote za Ibada halafu unamkuta ana chale mpaka mgongoni
Sasa huyo anaamini shetani sio Mungu

Anaenda ibadani ila ni mzinifu mkubwa na mabaya mengi
Huyo ni mnafiki na anajionyesha kwa watu ila anaficha sura yake ya pili

Kama wewe huamini Dini yoyote basi usitukane ambao wanaamini Mungu na kufanya mema na kukataa maovu
Sio busara kutukana mtu
• Upumbavu siyo tusi mkuu,

• Siwezi kutumia Google kufanya maamuzi, mimi siyo kilaza.

• Na hakuna binadamu asiye na kasoro( uzizi, ulevi, uchawi/kumiliki majini, ugaidi, Uongo, kukashfu chakula anachokula binadamu mwenzio), kama utakuwa na moja wapo kati ya hayo niliyotaja(na najua kabisa hakuna binadamu atakaye kwepa kumiliki moja wapo ya hayo niliyotaja)..... Bas utakuwa wewe huna sifa ya kumuabudu sijui Mungu.. Labda tu utabaki kuwa mnafiki kwenye masuala ya dini.
Trump alisema "AFRICA IS HOLESHIT," kwa sababu tunaiga vitu ambavyo havituhusu.
 
Back
Top Bottom