Mna kheri wenye mama mkwe mzee

Sawa ❤️.....nimewapenda wanyakusya bure Kwa utaratibu huo....wape salam zangu
 
Uganga wa Hivi ushauzoea mbona,maslay queen wameshindwa nitaweza Mimi wa tukuyu huku....we nipeleke TU Kwa mganga wako nikutengue kiuno utulie ndani na Kaz ikushinde🤣🚴🚴
Uganga huzidiana...
 
Beesmom jirani njoo unitetee ati mimi ni hivyo anavyosema Da'Vinci vinci
Kakusingizia maskini😔 yaan umeshindwa kulitamka hata neno lenyewe ulilotamkiwa😥 wise one ❤️....nataka kumwelekeza kuwa Huwa unafanya pale pale kama anapofanyaga yeye private.Unachotofautiana na wengine ni vile wewe public sana then wao private sana.We tembeza TU jirani yangu ninachokusihi kuwa makini na HIV maana hiyo huwa inapoteza malengo na future nzima.😘
 
Ukiwa muhuni unaweza, ila ukiwa Mal.aya huwezi...
Utachagua mwenyewe upo kwenye kundi la uhuni au uma.laya...

Hahahaha
 
Jirani nachokupendea ni hapo tu, alafu ulishasemaga unapenda sana vile nilivyo muhuni...
 
Afu usidhani anabebishana hakojolei,anakojolea na kusepa.Mi mwenyewe tayari afu najisikia kizunguzungu🤦 sijui tayaree🤔
 
Afu usidhani anabebishana hakojolei,anakojolea na kusepa.Mi mwenyewe tayari afu najisikia kizunguzungu🤦 sijui tayaree🤔
Jirani tulihesabu kalenda yako vizuri unajua... njoo leo jioni tuhesabu vizuri kalenda tena...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…