Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uganga mbona unao hapo...Sawa,nitafutie na mganga....maana tusiojua mambo haya twaogopa kugeuka kuku
Sawa ❤️.....nimewapenda wanyakusya bure Kwa utaratibu huo....wape salam zanguHakika mna kheri.Ma mkwe vijana imekuwa shida Sana,zamani walishindikana Kwa mdomo but now wameshindikana Kwa vyote...game wanataka wale na watoto wao...masimango na kuchagulia waume au wake watoto wao(huyu simtaki,huyu Hana Hela,huyu mfupi Sana mbegu mbaya🙄),na kuachanisha ndoa ndo wamekuwa mstari wa mbele(huwa nashangaa Sana unakuta ma mkwe yupo free kuwasiliana na mume wa mwanae kama anawasiliana na watu wengine TU,kinyakyusa ni mwiko....una shida mwambie mtoto wako yeye atamwambie mumewe) siyo unapiga simu Moja Kwa moja Tena bila aibu unatanguliza na kaunafki juu"Eti mwanangu🤔 Sina chochote ndani vitu vimeisha😳" Aisee jamani...yaan alee mke na mke wa baba mkwe wake.Hapana Kwa kweli.Una shida na pesa mwombe mwanao then mwanao atajua atatoa wapi,anamwomba mumewe au mkewe ndo akupe hilo halikuhusu!
Hongera Sana wenye wakwe vikongwe hawanaga muda huu,wanashukuru wanachopata muda huo,toka Kwa nani sijui ilimradi wamekula na kuvusha Siku😘
😂😂😂Mimi alinambia Nina kitambi!
Uganga huzidiana...Uganga wa Hivi ushauzoea mbona,maslay queen wameshindwa nitaweza Mimi wa tukuyu huku....we nipeleke TU Kwa mganga wako nikutengue kiuno utulie ndani na Kaz ikushinde🤣🚴🚴
Mambo sii ndiyo hapo jirani...Sawa ngoja nifanye kitu
Kakusingizia maskini😔 yaan umeshindwa kulitamka hata neno lenyewe ulilotamkiwa😥 wise one ❤️....nataka kumwelekeza kuwa Huwa unafanya pale pale kama anapofanyaga yeye private.Unachotofautiana na wengine ni vile wewe public sana then wao private sana.We tembeza TU jirani yangu ninachokusihi kuwa makini na HIV maana hiyo huwa inapoteza malengo na future nzima.😘
Ukiwa muhuni unaweza, ila ukiwa Mal.aya huwezi...Kinachonishangaza ni vile leo utamwambia member huyu unampenda unabebishana nae halafu kesho unamwambia mwingine unampenda unabebishana nae mbele ya yule wa jana. Hya nashangaa wenzangu mnawezaje?? Ni ushamba wangu au mambo yako nikuachie mwenyewe😅😅😅
Jirani nachokupendea ni hapo tu, alafu ulishasemaga unapenda sana vile nilivyo muhuni...Kakusingizia maskini😔 yaan umeshindwa kulitamka hata neno lenyewe ulilotamkiwa😥 wise one ❤️....nataka kumwelekeza kuwa Huwa unafanya pale pale kama anapofanyaga yeye private.Unachotofautiana na wengine ni vile wewe public sana then wao private sana.We tembeza TU jirani yangu ninachokusihi kuwa makini na HIV maana hiyo huwa inapoteza malengo na future nzima.😘
Afu usidhani anabebishana hakojolei,anakojolea na kusepa.Mi mwenyewe tayari afu najisikia kizunguzungu🤦 sijui tayaree🤔Kinachonishangaza ni vile leo utamwambia member huyu unampenda unabebishana nae halafu kesho unamwambia mwingine unampenda unabebishana nae mbele ya yule wa jana. Hya nashangaa wenzangu mnawezaje?? Ni ushamba wangu au mambo yako nikuachie mwenyewe😅😅😅
Jirani tulihesabu kalenda yako vizuri unajua... njoo leo jioni tuhesabu vizuri kalenda tena...Afu usidhani anabebishana hakojolei,anakojolea na kusepa.Mi mwenyewe tayari afu najisikia kizunguzungu🤦 sijui tayaree🤔