KUHUSU NDOA @@ AMRI ZA MUNGU LEO ZILIZO KATIKA KITABU CHA NABII Fulani
[emoji117]0- Kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara 3 kwa wiki ni dhambi;
[emoji117]1- Punyeto au kujichua ni dhambi;
[emoji117]2- kufanya tendo la ndoa zaidi ya Mara moja kwa usiku mmoja ni dhambi;
[emoji117]3- Kumwaga mbegu zako sakafuni ni dhambi;
[emoji117]4- Kufanya tendo la ndoa mkeo akiwa katika hedhi ni dhambi;
[emoji117]5-Kutumia kondomu ni dhambi, "note, unaruhusiwa kutumia kondomu kama mwenzi mmoja ni mgonjwa;
[emoji117]6- Kumuweka mkeo juu yako wakati wa kufanya tendo la ndoa ni dhambi;
[emoji117]7- Kuangalia sinema za ngono ni dhambi;
[emoji117]8- Kwenda kuoga na mkeo ni dhambi;
[emoji117]9-kumshika shika mkeo na kumuacha bila kushiriki tendo la ndoa Ni dhambi
[emoji117]10- Kuweka ulimi kwenye jinsia ya mwenzi wako ni dhambi;
[emoji117]11- Kufanya ngono kwa kumpanda mkeo nyuma ni dhambi;
[emoji117]12- Kufanya mapenzi kabla ya mahari ni dhambi;
[emoji117]13- Kuchumbiana na mtu ambaye si mkristo Ni dhambi
[emoji117]14-Kuweka ulimi kinywani mwa mwanamume au mwanamke ni dhambi;
[emoji117]15-mchungaji lazima aoe bikira
[emoji117]16- style ya tendo la ndoa ni moja tu mwanamke anakuwa chini mwanaume juu
[emoji117]17- mwanaume kunyonya maziwa ya mkewe Ni dhambi,."note maziwa yamewekwa kwa ajili ya kunyonya, watoto pekee,
[emoji117]18- Kuwaza au kufikiria juu ya ngono ni dhambi, kutamani;
[emoji117]19-mwanaume lazima aoe mwanamke mdogo kwa umri kuliko yeye
[emoji117]20-mwanaume ndiye anayependekeza mwanamke, mwanamke kamwe hawezi pendekeza mwanaume
[emoji117]21- Kutoa mimba ni dhambi;
[emoji117]22- Kutumia kondomu, kufanya uzazi wa mpango, kunywa vidonge au sindano ili kuepuka kupata ujauzito ni dhambi;
[emoji117]23-mwanaume hata awe maskini kuliko mke, bado mke atapaswa kumtii mume
[emoji117]24- Kupakua picha za uchi na kutazama sinema za ngono ni dhambi.
[emoji117]25- Mwanamke kutotii mume ni dhambi;
[emoji117]26- Kuwa na wake wengi, ushoga, ni dhambi;
[emoji117]27-kufurahiya kuitazama tupu ya mkeo akiwa uchi ni dhambi
[emoji117]28-Kunyonyana denda ni dhambi
[emoji117]29-kumramba ramba mwenzi kwa ulimi katika mwili ni dhambi
[emoji117]30-kufanya ngono usiku wa kuamkia Jumapili ni dhambi
[emoji117]31-wakati wa harusi mwanamke anaye vaa gauni jeupe ni bikira pekee
[emoji117]32-watu waliojuana kwenye uchumba ndoa yao haita barikiwa kanisani
[emoji117]33-baada ya mkeo kujifungia unapaswa kumjua baada tu ya kuona hedhi ya kwanza
[emoji117]34-Hupaswi kumpelekea zawadi mama aliyejifungua mtoto haramu, yaani mtoto ambaye baba yake hakulipa mahari
[emoji117]35-Bibi-arusi aliyevaa mavazi ya kikahaba siku ya harusi, ndoa yake haita barikiwa kanisani