Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sasa ndio mbinu hasa ya kivita,dogo ashindwe mwenyeweWanigeria ni wachawi sana, akimkamatia tu huyo manzi huna chako. Fanya aende uhamiaji fasta. Lazima makaratasi ya mnigeria hayatakuwa sawa tu.
Hakuna mbinu zaidi ya huyo gf kuamua kubaki na rafiki yako.Kuna dogo ana miaka 28 bado hajaoa ila ana girlfriend wake ambae wamejuana takribani miezi minne hivi bila tatizo, kaja kwangu kaka yake aje nimpe ushauri hasa ukizingatia binafsi nimeshaoa na nina familia tayari, pia kwenye mambo ya mapenzi nina uzoefu si haba.
Huyo girlfend wake ni mrembo wa sura na shape kote, kaelimika (sio msomi wa vyeti), ....kwao pesa zipo maana mzee ni mzito wa kitengo flani, anajitamua, n.k,. (Kiufupi hata mimi huwa nampa moyo dogo kwamba hapo alipopata asiachie)
Sasa kuna mnaijeria hapa anataka kuingiza mchanga kwenye kitumbua maana kaanza kuiteka akili ya girlfriend wa huyu dogo,
Dogo kama ni pesa anazo maana alipata bahati adimu mno kuajiriwa shirika ambalo ni ndoto ya wengi kipindi cha magu, ila pia anafanya biashara inayomlipa, ana ndinga kali, kama ni kuhonga tu hata 50 kwa siku huo uwezo anao ila gf wake ni kama huwa anamaindi, huwa anapendaga out hizi za weekend na vizawadi vidogo vidogo,,
Kuhusu ishu nyingine kama kuvaa dogo anagonga pamba maana pesa anazo si haba, kama ni gari ya kupigia misele na dem wake anayo ndinga kali tu, kuhusu swaga dogo hajazubaa, kama ni kumjali huyo gf wake anamjali sana tu na gf wake analijua hilo.
Dogo alipiga maswali gf wake kumuuliza ni vipi na huyo mnaijeria, gf wake kakazania ni marafiki tu lakini kwa akili zetu wanaume hii ni hali ya atari (danger zone), muda wowote koloni linaporwa.
Ni mbinu zipi za kivita zitumike kulitetea taji hapa nyumbani?
nyote watoto sana eti dogo anaweza kutoa pesa lakini kwa kina binti hela zipo. You think money pays for love eh? How dumb.
Kwa hiyo pamba plus unyunyu na kuongea ndo upate binti kirahisi hivyo?
Acheni Mnaijeria awaonyeshe show mkue kidofo.
mademu wengi wa kibongo huwa wanashobo sana na nchi za nje.
Mademu wa Bongo washamba sana kwa wageni mpaka kuwaoa ukatoka nao nje ya Tanzania ni kujitafutia ugonjwa wa moyoHuyo dogo lako anakua boya. Its a simple fact, kama mnigeria anataka kuchukua jimbo just know mlango ulifunguliwa na huyo dem wa unyunyu. Maana angekua serious na dogo asingekubali mazoea yanayozidia, sema kwakua alikubali mpaka wamefikia hapo just know dogo hana chake tena.
Utamlaumu bure huyo mams, lakini 90% ya wadada sidhani kama wangeruka. Hata ingekua wewe mtoa mada ndo umepata dem wa kinigeria sijui kma ungeacha kuchakata. Sisemi wa naija ni wazuri, lakini ulimbukeni bado upo mwingi tu bongo kuhusu haya mambo so maybe mdada anataka kuchanganya damu kidogo.
Mwambie dogo afute jasho asonge mbele.
Tatizo la wanawake wa kibongo wanafikiria Mnigeria ni mtu wa maana na usikute jamaa (Mnigeria) anakula tayari. Jamaa atamtumia tu na kumuacha kwenye mataa akiishiwa nyege zake. Mwambie tu jamaa yako ampe huyo demu ultimatum achague anamtaka nani kati yake na huyo Mnigeria. Kama demu anazingua amuache tu, kumbuka....wanawake tunatafuta ila mpenzi wa kweli anakuletea mwenyezi Mungu. Mademu wa kibongo ni michosho tu.Kuna dogo ana miaka 28 bado hajaoa ila ana girlfriend wake ambae wamejuana takribani miezi minne hivi bila tatizo, kaja kwangu kaka yake aje nimpe ushauri hasa ukizingatia binafsi nimeshaoa na nina familia tayari, pia kwenye mambo ya mapenzi nina uzoefu si haba.
Huyo girlfend wake ni mrembo wa sura na shape kote, kaelimika (sio msomi wa vyeti), ....kwao pesa zipo maana mzee ni mzito wa kitengo flani, anajitamua, n.k,. (Kiufupi hata mimi huwa nampa moyo dogo kwamba hapo alipopata asiachie)
Sasa kuna mnaijeria hapa anataka kuingiza mchanga kwenye kitumbua maana kaanza kuiteka akili ya girlfriend wa huyu dogo,
Dogo kama ni pesa anazo maana alipata bahati adimu mno kuajiriwa shirika ambalo ni ndoto ya wengi kipindi cha magu, ila pia anafanya biashara inayomlipa, ana ndinga kali, kama ni kuhonga tu hata 50 kwa siku huo uwezo anao ila gf wake ni kama huwa anamaindi, huwa anapendaga out hizi za weekend na vizawadi vidogo vidogo,,
Kuhusu ishu nyingine kama kuvaa dogo anagonga pamba maana pesa anazo si haba, kama ni gari ya kupigia misele na dem wake anayo ndinga kali tu, kuhusu swaga dogo hajazubaa, kama ni kumjali huyo gf wake anamjali sana tu na gf wake analijua hilo.
Dogo alipiga maswali gf wake kumuuliza ni vipi na huyo mnaijeria, gf wake kakazania ni marafiki tu lakini kwa akili zetu wanaume hii ni hali ya atari (danger zone), muda wowote koloni linaporwa.
Ni mbinu zipi za kivita zitumike kulitetea taji hapa nyumbani?