Mnaijeria anataka kumpora rafiki yangu girlfriend wake, Mbinu zipi zitumike kumshinda mgeni huyu uwanja wa nyumbani?

Mnaijeria anataka kumpora rafiki yangu girlfriend wake, Mbinu zipi zitumike kumshinda mgeni huyu uwanja wa nyumbani?

Kosa la kwanza huyo mvulana alilolifanya ni kumuuliza dem ,"huyo mnaijeria vip?" Ayni hapa amevuka level yakutokujiamini 100%, na huo wivu utamfanaya dogo awe needy vibaya mno, kinachofuata ni kudharauliwa tu !
 
Wanaijeria Wana dudu la yuyu la hatar na sio vibamia vyetu.
 
Hapo Demu ndio kashoboka na Mnaijeria maana kama ni mtoto wa kishua ameona huyo ndio level yake maana mademu wengi wa kibongo huwa wanashobo sana na nchi za nje.
Hapo pigeni dua tu Mnaijeria arudi kwao.!

Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
 
Hehe atavyozidi kushindana against Mnaigeria ndivyo atavyozidi kumpoteza huyo dada. Na kwa kuwa ni mrembo basi akilini mwake huyo msichana ataanza kumuona needy.

Kuna njia moja tu ya kulitatua hili jambo moja kwa moja au kujua keshapoteza huyo msichana au la.

Aachane nae. Amwambie anahitaji break kwa muda huu kufikiria kuhusu mahusiano yao yanapoelekea.

Msichana kama anampenda jamaa atarejea na kueleza hali nzima ilivyo na huyo mnaigeria. Kama ndio mnaijeria ameshawini hili sakata basi hatarudi na jamaa atakuwa ameondoka katika mahusiano with minimal maumivu bila matukio.
 
Kuna dogo ana miaka 28 bado hajaoa ila ana girlfriend wake ambae wamejuana takribani miezi minne hivi bila tatizo, kaja kwangu kaka yake aje nimpe ushauri hasa ukizingatia binafsi nimeshaoa na nina familia tayari, pia kwenye mambo ya mapenzi nina uzoefu si haba.

Huyo girlfend wake ni mrembo wa sura na shape kote, kaelimika (sio msomi wa vyeti), ....kwao pesa zipo maana mzee ni mzito wa kitengo flani, anajitamua, n.k,. (Kiufupi hata mimi huwa nampa moyo dogo kwamba hapo alipopata asiachie)

Sasa kuna mnaijeria hapa anataka kuingiza mchanga kwenye kitumbua maana kaanza kuiteka akili ya girlfriend wa huyu dogo,

Dogo kama ni pesa anazo maana alipata bahati adimu mno kuajiriwa shirika ambalo ni ndoto ya wengi kipindi cha magu, ila pia anafanya biashara inayomlipa, ana ndinga kali, kama ni kuhonga tu hata 50 kwa siku huo uwezo anao ila gf wake ni kama huwa anamaindi, huwa anapendaga out hizi za weekend na vizawadi vidogo vidogo,,

Kuhusu ishu nyingine kama kuvaa dogo anagonga pamba maana pesa anazo si haba, kama ni gari ya kupigia misele na dem wake anayo ndinga kali tu, kuhusu swaga dogo hajazubaa, kama ni kumjali huyo gf wake anamjali sana tu na gf wake analijua hilo.

Dogo alipiga maswali gf wake kumuuliza ni vipi na huyo mnaijeria, gf wake kakazania ni marafiki tu lakini kwa akili zetu wanaume hii ni hali ya atari (danger zone), muda wowote koloni linaporwa.

Ni mbinu zipi za kivita zitumike kulitetea taji hapa nyumbani?
Hakuna mbinu zaidi ya huyo gf kuamua kubaki na rafiki yako.
Mbinu zilizobaki hazitofua dafu kama kaamua kuwa na mnaijeria.
Madada wamanapenda ma foreigners hasa wakiwa wanajiongelesha kiswahili kibovu basi wao wanaona burudani.
Mwacheni mpopo hapo ashachora ramani ndefu anainvest short time anapga long time
 
Kuna mdgo wang alwah nifata analalamika Dem wake anaanza kmzngua kwaio kaskia kwa wenzake Kuna mganga anavuta mpenz bei yake elfu15 nkmuangaliaaaa nkmwambia n kweli afu iyo bku15 nipe ifate mchna uende itkua na Baraka ikipita kwangu " kweli broo" kafurah kweli.

Den mchna nkafata kuku nusu nkpika na ugali safiiii na iyo pesa nkmuita nkmwambia kula mdgo wang maana hii hela mganga ndo angeila huo ujinga sku nyngne usje nifata unnielza mwanmke akzngua tafta mwngne basss skuiz naona kakomaaa sanaaa.
 
Inaonekana wako sekondari hawa watoto...
nyote watoto sana eti dogo anaweza kutoa pesa lakini kwa kina binti hela zipo. You think money pays for love eh? How dumb.

Kwa hiyo pamba plus unyunyu na kuongea ndo upate binti kirahisi hivyo?

Acheni Mnaijeria awaonyeshe show mkue kidofo.
 
Huyo dogo lako anakua boya. Its a simple fact, kama mnigeria anataka kuchukua jimbo just know mlango ulifunguliwa na huyo dem wa unyunyu. Maana angekua serious na dogo asingekubali mazoea yanayozidia, sema kwakua alikubali mpaka wamefikia hapo just know dogo hana chake tena.
Utamlaumu bure huyo mams, lakini 90% ya wadada sidhani kama wangeruka. Hata ingekua wewe mtoa mada ndo umepata dem wa kinigeria sijui kma ungeacha kuchakata. Sisemi wa naija ni wazuri, lakini ulimbukeni bado upo mwingi tu bongo kuhusu haya mambo so maybe mdada anataka kuchanganya damu kidogo.
Mwambie dogo afute jasho asonge mbele.
Mademu wa Bongo washamba sana kwa wageni mpaka kuwaoa ukatoka nao nje ya Tanzania ni kujitafutia ugonjwa wa moyo
 
Ngoja na mimi nitoe kaushauri japo huku kijijini mtandao unasumbua sana.
Mahusiano hulindwa na mwanamke sababu yeye hua wa kwanza kuona adui anavyokuja,mwanaume hata ulinde wewe unaweza usimuone adui,au unaweza muona mmoja kumbe wapo mia.
 
Kuna dogo ana miaka 28 bado hajaoa ila ana girlfriend wake ambae wamejuana takribani miezi minne hivi bila tatizo, kaja kwangu kaka yake aje nimpe ushauri hasa ukizingatia binafsi nimeshaoa na nina familia tayari, pia kwenye mambo ya mapenzi nina uzoefu si haba.

Huyo girlfend wake ni mrembo wa sura na shape kote, kaelimika (sio msomi wa vyeti), ....kwao pesa zipo maana mzee ni mzito wa kitengo flani, anajitamua, n.k,. (Kiufupi hata mimi huwa nampa moyo dogo kwamba hapo alipopata asiachie)

Sasa kuna mnaijeria hapa anataka kuingiza mchanga kwenye kitumbua maana kaanza kuiteka akili ya girlfriend wa huyu dogo,

Dogo kama ni pesa anazo maana alipata bahati adimu mno kuajiriwa shirika ambalo ni ndoto ya wengi kipindi cha magu, ila pia anafanya biashara inayomlipa, ana ndinga kali, kama ni kuhonga tu hata 50 kwa siku huo uwezo anao ila gf wake ni kama huwa anamaindi, huwa anapendaga out hizi za weekend na vizawadi vidogo vidogo,,

Kuhusu ishu nyingine kama kuvaa dogo anagonga pamba maana pesa anazo si haba, kama ni gari ya kupigia misele na dem wake anayo ndinga kali tu, kuhusu swaga dogo hajazubaa, kama ni kumjali huyo gf wake anamjali sana tu na gf wake analijua hilo.

Dogo alipiga maswali gf wake kumuuliza ni vipi na huyo mnaijeria, gf wake kakazania ni marafiki tu lakini kwa akili zetu wanaume hii ni hali ya atari (danger zone), muda wowote koloni linaporwa.

Ni mbinu zipi za kivita zitumike kulitetea taji hapa nyumbani?
Tatizo la wanawake wa kibongo wanafikiria Mnigeria ni mtu wa maana na usikute jamaa (Mnigeria) anakula tayari. Jamaa atamtumia tu na kumuacha kwenye mataa akiishiwa nyege zake. Mwambie tu jamaa yako ampe huyo demu ultimatum achague anamtaka nani kati yake na huyo Mnigeria. Kama demu anazingua amuache tu, kumbuka....wanawake tunatafuta ila mpenzi wa kweli anakuletea mwenyezi Mungu. Mademu wa kibongo ni michosho tu.
 
Kwa kifupi bado ni mtoto huyo wala si mvulana! Yan Au ni weee maana Mwanamke ni either abaki Au aondoke! “ If you wanna go you must go if you wanna stay come my way”

Usiendekeze mapenzi Kabisa maana utaumia baadae
 
Back
Top Bottom