Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

Huyo mrs lissu ni mpumbavu kinoma asee [emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961]
 
Enzi hizo ulikuwa unachelewa kulala alafu unaamka mapema unaingia JF inakufariji sababu unalala sebuleni sofani kwenye nyumba ambayo dadaako ndo alikuwa ameolewa akakutoa kijijini akakuleta mjini ili uwe unampeleka na kumchukua Junior shuleni
Hahaha prince junta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…