Mimi naikumbuka ya Malaria Sugu vs Rev. Masanilo (2010 - 2023)Vita kali nisiyosahau ni ya Malaria Sugu vs Bujibuji. Hawa wakianza kutwangana unachukua popcorn na kuandaa mbavu zako[emoji1787]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Enzi hiyo kuna watu walikuwa wanajiona kama JF ni mali yao na huwezi kuwaambia kitu yani. Huyo dada ni mmoja wapo pamoja na mishangazi mingine ambayo imesharudisha mpira kwa kipa na mingine imebadili ID ilikuwa ikiishi kwa kuuza mbususu kwa makanjanja wa humu.
Yaani Arusha one ni Lishangazi?Faiza foxy
Cocochanel
Miss chaga
Espy
atoto
Arusha one
Ritz
Etrugul
Kitu ya niffah...JF bana[emoji28][emoji28]The Bold.
Daaah people changeAdriz alikua anapiga Aya juu ya aya, anaandika kistaarabu, pepo wa jf kamkumba kwa sasa anatukana hatari
Nakumbuka kulipostiwa kuwa The Bold na Niffer walioana kabisa trulyKitu ya niffah...JF bana[emoji28][emoji28]
The Bold na Niffer walikuja achana?
Gangeni yajayo...
😂😂😂😂Jamhuri ya Forums imepitia mengi aisee ukikumbuka vituko vyaKwani Mshana alikuwa Demu wake kabisa Chamdeko au alikuwa anachangamsha Genge? The Bold na Nifah ,Smart911 na Mahondow ilikuwa live bila chenga lakini at the end wakaja kupigwa na vitu venye ncha kali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kulikuwa na member na member ambao ni VIP. Enzi hizo sikuthubutu hata kuandika comment hapa maana nilijiona very inferior asee.
Cc: MAHONDAWGangeni yajayo...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Adriz alikua anapiga Aya juu ya aya, anaandika kistaarabu, pepo wa jf kamkumba kwa sasa anatukana hatari
Hii ndo mitandao... watu wananyanduana kwa kuchati [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kipindi naingia Jf kulikuwa na makundi mno unahisi kama wewe pekee yako ndio ufahamiani na watu uclassic ulikuwepo sana kidogo tu wanakupopoa kwa kukuchangia mande .Na unaweza kumqouote mtu nakuruka kama hakuoni kisha anamjibu mwengine na kumlike..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Enzi hiyo kuna watu walikuwa wanajiona kama JF ni mali yao na huwezi kuwaambia kitu yani. Huyo dada ni mmoja wapo pamoja na mishangazi mingine ambayo imesharudisha mpira kwa kipa na mingine imebadili ID ilikuwa ikiishi kwa kuuza mbususu kwa makanjanja wa humu.