Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

@Humble African jamaa alikua na nondo sana!
 
Wee tutakupiga mzee,hii JF ya mada za kwa mparange uifananishe na JF ya nondo za Magamba matatu,Humble African na Pascall mayalla wa zamani enzi hizo anaitwa pasco!! Sio kweli aisee!! Hii JF muulize Lowassa atakwambia kwanini aliamua kujiuzuru chanzo ilikuwa ni Jf,

Kuna kipindi humu kina Dr Slaa,Kitila Mkumbo,Zitto Kabwe,Kigwangalla na Mwigulu ilikuwa wakianzisha mada ni mawe kwelikweli kabla hawajaanza zile itikadi za kusifiasifia hovyo..Zamani taarifa zikiletwa huku ni uhakika ukisikia fulan kesho anatumbuliwa ujue ni kweli,

Ukisikia Fulani ni raisi ajaye ujue ni kweli
..Tulipata sana ujiko kwenye vijiwe vya kahawa kwa kuleta nondo za humu
Wahenga mko na midlife crisis tu, JF ya sasa ni bora zaidi.
 
Hawa naweza sema waliponzwa na show offs,
Kuna watu hawapendi kuona wengine wanapendana,
Zikarushwa picha humu na maelekezo kede kede,

Halafu watu wenye show off mara nyingi hawapendani jus kuonyesha raia kwamba wanapendana ila wanapitia vitu vingi sana.

Kuna mdada FB alikuwa anampost sana mmewe akionyesha kwamba anampenda sana ,yeye ndiyo baba watoto ila juzi juzi naona kapost m/me mwingine na kusema ndiyo baba wa mwanae na si yule wa awali.... 😀
 
Unazi huu ulinishindaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…