@Humble African jamaa alikua na nondo sana!Mimi miongoni mwa wanaosapoti kauli hizo, sababu kulikuwa hakuna unazi kwenye majukwaa ya nondoz na unakuta nyuzi na comments zona uchambuzi ulioshiba kuliko sasa hivi ukiona comment ya MK254 international basi tegemea unazi na vicheko vya kinadada "hehehehe" baada ya kujibu hoja.
Vilevile watu wa kutoa madini wengi walikuwepo mfano @humbeafrican The Bold hata Popoma GENTAMYCINE ilikuwa ukiona uzi wake unajua leo hapa kuna madini mazito mtu hadi unajiona haujafikia uwezo wa kupost uzi humu ,sasa hivi mtu uzi anafyatua tu akishiba mapande ya muhogo.Hayo mambo yalikuwa Celebrity ,Chitchat na MMU tu.
The Bold na Nifah.
Wahenga mko na midlife crisis tu, JF ya sasa ni bora zaidi.
Hawa naweza sema waliponzwa na show offs,
Kuna watu hawapendi kuona wengine wanapendana,
Zikarushwa picha humu na maelekezo kede kede,
😂😂😂😂Jamhuri ya Forums imepitia mengi aisee ukikumbuka vituko vya
Bujibuji Simba Nyamaume na Giresi unaishia kucheka tu
This is JF!
Huyu genta anajua mengi japo anajitoa ufahamu
😂😂😂😂😂Gilesi namkumbuka Mwenye inye inatingishikatingishika 😀
💯Njoo Dar Service Park au Jambolee kila jumamosi utamkuta na jumapili anapumzika VIctoria Inn FLoor ya Nne.
Mshana na Demise ilikuwa kweliKwani Mshana alikuwa Demu wake kabisa Chamdeko au alikuwa anachangamsha Genge? The Bold na Nifah ,Smart911 na Mahondow ilikuwa live bila chenga lakini at the end wakaja kupigwa na vitu venye ncha kali.
NdioNakumbuka kulipostiwa kuwa The Bold na Niffer walioana kabisa truly
Duh, kweli shetani yupo kaziniNdiyo mkuu.
Hahahahaha nimecheka sana, nimekumbuka siku ile jamaa anaumbuka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamhuri ya Forums imepitia mengi aisee ukikumbuka vituko vya
Bujibuji Simba Nyamaume na Giresi unaishia kucheka tu
This is JF!
Sana, sijui yupo wapi@Humble African jamaa alikua na nondo sana!
Rala mokoSijui kwa nini nimewakumbuka member hawa , I hope walichangia sana mimi kujiunga na jf 2013 kabla ya I'd hii, walikua wanatrend Miss Neddy Khantwe [USER=192494]masai dada CharmingLady Preta atoto KING'asti
Valentina Madam B Evelyn Salt ladyfurahia CharmingLady ram
Unazi huu ulinishindagaHalafu watu wenye show off mara nyingi hawapendani jus kuonyesha raia kwamba wanapendana ila wanapitia vitu vingi sana.
Kuna mdada FB alikuwa anampost sana mmewe akionyesha kwamba anampenda sana ,yeye ndiyo baba watoto ila juzi juzi naona kapost m/me mwingine na kusema ndiyo baba wa mwanae na si yule wa awali.... 😀
Unazi huu ulinishindaga
Walikuwa couple nzuri sana hawa...FInally leo tumebaki na Popoma huku nifa akiwa ameshaishiwa pumzi.
Pumzi ya Nifa ilikata baada ya kujisogeza kwenya mbawa za yule jamaa muandika simulizi aliyekua akijiita The Bold.
The Bold aliingia kwenye mbawa za Ontario, akapotelea humo na kulazimika kuachana na JF.Walikuwa couple nzuri sana hawa...
Daah, Niffer Dada yangu hajanijuza hiloNdiyo mkuu.