Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015


Hehehe shukrani shabiki kuendelea kunifuatilia, nilishawaahidi siwaangushi....nawakumbushia laana yenu ya kidini na mengine siku zote.
 
Ukijiingiza kwenye maonesho ya mitandaoni umekwishaaa utaishi kua mtumwa wa watu wengine huku wewe ukiteketea, itakulazimu kila siku kutafuta content ya kuwaonesha mko vizuri kumbe holaaa na maadui wataongezeka kuhakikisha hayo maonesho hayafiki mbali
 
Halafu [mention]MK254 [/mention] alikua anaandika mambo ya maana sana hapa, uchumi, afya, maendeleo, pepo wa jf akaanza kumuingia huyo nikaona analeta habari za osama, waislamu akaanza kuwaita wavaa kobazi,, akaanza kuwakandia alshabaab, akarukia boko haram, kwa sasa kajibanza ukraine maana alimshabikia Raila akaangukia pua,
 
Hivi Dada Jane yupo kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…