kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,341
Kibuku oyeee hongera hongera!! Mchezo wa kina jangala,jongo na kina kidawa!Kutumia kibuku ni pombe bora. Lilikuwa ni tangazo la biashara katika kipindi cha mchezo wa redio RTD
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibuku oyeee hongera hongera!! Mchezo wa kina jangala,jongo na kina kidawa!Kutumia kibuku ni pombe bora. Lilikuwa ni tangazo la biashara katika kipindi cha mchezo wa redio RTD
Basi kale kawimbo ka marimba cjui nn wakat mchezo wa kina Kidawa unataka kuanza tulikuwa tunaimba kisir siri wakubwa wasisikie "tnafatisha mapigo tunaweka maneno yetu... Kidawa mama kidawa kidawa kidawa kapata mimba kidawa "Kibuku oyeee hongera hongera!! Mchezo wa kina jangala,jongo na kina kidawa!
Kulikuwa pia lile tangazo "Posta na simu kweliiiiii agiza barua vitu mbali mbali vifike haraka tena kwa uhakika.........." It was interesting kwa kweliKibuku oyeee hongera hongera!! Mchezo wa kina jangala,jongo na kina kidawa!
Safari asili yake ,nchini Tanzania, safari moja uanzisha nyingine.
Kwani kila demu unaye mtongoza lazima akukubali? Ukiona hivyo jua hawana sifa.Wanafunzi walioomba kujiunga na Elimu ya Juu wengi wamekosa nafasi.. Halafu unatuletea habari za Chai Jaba
Hahahahaha eyatel walitisha na lile tangazo la mangi. Sjui nin na nin "iyo ela bora ukanunue gazeti ujipepeee" nmelisahau aiseeeMimi sikwepo enzi zenu ila ntaweka niliyowahi yasikia
Continental ..the quality to talk about.
Startimes...ulimwengu wa digitaliiiii
Vodacom...kazi ni kwako..power to you.
Fountain view academy ni kisima cha mafanikio..hili nalipenda hadi kesho.
Je unamaumivu flue..je unamaumivu ya kichwa..Tumia dawa tatu. Mimi natumia dawa tatu wewe je?
Attentiiiiion!!!nimelazimika kutangaza vita dhidi ya wadudu wote warukao na watambaaaooo. Tangazo la Rungu
Airtel..babalao
Tigo...express your self
Buzz...buzz ni bomba
Cloud's fm tunakufungulia dunia.
Tembomaster card. ATM crdb
Wakwe: kijana unakazi?
Kijana: kazi ninayo mzee
Wakwe: je unanyumba?
Kijana: nyumba ninayo mzee
Mkwe: una gari?
Kijana: gari ninalo gx 100
Mkwe: je unayo Tembomaster card?
Kijana : mmmh eeeh aaa hiyo mzee eeeh
Mkwe : kijana katika ulimwengu huuu huna Tembomaster card unataka kumchukua binti yetu aaa aaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndorobo weweHahahahaha eyatel walitisha na lile tangazo la mangi. Sjui nin na nin "iyo ela bora ukanunue gazeti ujipepeee" nmelisahau aiseee
pita jangwani au porini Safari ni safari .Safari ni safari iwe mchana au usiku safari ni safari. Safari lager asili yake Tanzania.....
.
Ongezea tu na msisimko wa coca.Mimi sikwepo enzi zenu ila ntaweka niliyowahi yasikia
Continental ..the quality to talk about.
Startimes...ulimwengu wa digitaliiiii
Vodacom...kazi ni kwako..power to you.
Fountain view academy ni kisima cha mafanikio..hili nalipenda hadi kesho.
Je unamaumivu flue..je unamaumivu ya kichwa..Tumia dawa tatu. Mimi natumia dawa tatu wewe je?
Attentiiiiion!!!nimelazimika kutangaza vita dhidi ya wadudu wote warukao na watambaaaooo. Tangazo la Rungu
Airtel..babalao
Tigo...express your self
Buzz...buzz ni bomba
Cloud's fm tunakufungulia dunia.
Tembomaster card. ATM crdb
Wakwe: kijana unakazi?
Kijana: kazi ninayo mzee
Wakwe: je unanyumba?
Kijana: nyumba ninayo mzee
Mkwe: una gari?
Kijana: gari ninalo gx 100
Mkwe: je unayo Tembomaster card?
Kijana : mmmh eeeh aaa hiyo mzee eeeh
Mkwe : kijana katika ulimwengu huuu huna Tembomaster card unataka kumchukua binti yetu aaa aaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Omar wajikuna ngwarangwaraaaa omariiiiiiiiiiiiiiiiiii.
joto ya jiwe kwisha jua
shang shang baiskeli inakimbia fasta.
NIPE NAMBA YAKO NKUTUMIE WHATSAPPKaka naomba unitumie hako ka beat, nimekasaka sana
Tayari nmekutumiaNIPE NAMBA YAKO NKUTUMIE WHATSAPP
POA NENDA INBOXIN KWAKO WHATSAPP IPOTayari nmekutumia