Biblia haiwezi kuandika kitu ambacho hakipo.
Vitabu vya dini vimetaja uchawi mara nyingi sana
Unasema Biblia haiwezi kuandika kitu ambacho hakipo ila biblia hiyo hiyo imeandika nyoka anaongea. Je ni kweli nyoka huwa anaongea ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biblia haiwezi kuandika kitu ambacho hakipo.
Vitabu vya dini vimetaja uchawi mara nyingi sana
Uchawi upo au haupo??
Kuna kesi ilitokea hapa Zanzibar, jamaa wakaenda kwa mtaalamu ili awasaidie.Mtaalamu akasema aletwe ngamia!
Mtaalamu akaanza kumsomea yule ngamia, ngamia akaanza kuzama chini ya ardhi kisha akapotea kabisa! Namaanisha alizama na kupotea.Mimi ni shuhuda mwenyewe!
Unakumbuka mkasa wa nyumba kuzama yenyewe hapa Zanzibar?? Unaifahamu ardhi ya Zanzibar?? Imejaa miamba, lakini nyumba ilizama!
Hivi visa ni maarufu huku Zanzibar! Ni uchawi au miujiza??Utajua mwenyewe!
Hii dunia ina mengi ambayo mimi na wewe hatuyafahamu na hatuwezi kuyafahamu mpaka tunakufa. Elimu ni bahari.
Ukipata kishahada chako unajihisi kama unaifahamu dunia, kumbe ni ushamba, ulimbukeni, kiburi, majivuno, mhemko, papara, dharau n.k ndivyo vimekutawala!
Nb: Toa elimu kuhusu huyo ngamia kuzama ardhini au nyumba kuzama kwenye miamba wakati wa kiangazi!Kwa taarifa yako wataalamu walikuja na hawakupata majibu.Ebu wewe tueleze ni kitu gani hiki!
Wahenga wenzangu watakuwa wanakumbuka kuhusu hii nyumba kuzama kwani ilitikisa vyombo vya habari!
Haupo kwenye tafiti bali upo kuwakejeri watu baada yakua unaelfu50 yako mfukoni ushakula kitimoto na konyagi unachukua simu kizembe sana unaanza kuandika upuuzi.😂😂😂😂 yaani kuniloga nitoe na hela yangu kudadeki
Ukipata jibu la kueleweka kimantiki ni tag mkuu.Katika miaka niliyo nayo mpaka sasa sijawahi kukubali kuwa eti kuna uchawi sijui mtu anaweza kuloga sijiui mambo yako yasiende.
Kama kweli uchawi upo kwanini hao wachawi wasiende benki wakaloga wakachukua pesa.
Kama kuna mtu humu ndani alishawahi kulogwa njoo utupe mrejesho ilikuwaje.
Pia, kama kuna mtu anajiamini anaweza kuniloga njoo uniloge we taja unachotaka kutoka kwangu nitakupa we niloge kama kweli unaweza😂😂
Mwisho hakuna uchawi ni dhana za kufikilika tu.
Uchawi ni nini?Kama huamini uchawi basi wewe ndo mchawi mwenyew au huishi hapa Duniani.
Hapo majuzi tumesikia mtoto mwenye uarobino kayliwa kikatili na kutolewa baazi ya viungo.
Je unadhani hao waliofanya hivo wanajiburudisha tu? Au huyo anayevihitaji hivo vitu anajiburudisha tu mwenyew?
Yani huyu hata uchawi ukiwapo kweli akili yake ndogo bado 🤣🤣🤣Hakuna majibu hapa 😂😂😂 mtu kasema kuniloga mimi nitoe laki 2
Hizo bangi unazovutaga pumzika kwanza ndio maana serkali inakatza kulima bangi Kwa watu kama weweUchawi ni nini?
Unakubali kuwa inawezekana kukawa na imani ya kitu bila ya hicho kitu kwapo?
Mfano, mtu anaweza kuamini kuna pembetatu duara, wakati pembetatu duara haipo?
Kama hilo linawezekana, kuamini pembetatu duara ipo kunaifanya iwepo kweli?
Wewe ukiamini kuwa ni bilionea wa kwanza kwa utajiri duniani, imani hiyo inakufanya uwe bilionea wa kwanza duniani?
Bangi ni dawa iliyohalalishwa na serikali huku nchi zilizoendelea.Kama huamini uchawi basi wewe ndo mchawi mwenyew au huishi hapa Duniani.
Hapo majuzi tumesikia mtoto mwenye uarobino kayliwa kikatili na kutolewa baazi ya viungo.
Je unadhani hao waliofanya hivo wanajiburudisha tu? Au huyo anayevihitaji hivo vitu anajiburudisha tu mwenyew
Hizo bangi unazovutaga pumzika kwanza ndio maana serkali inakatza kulima bangi Kwa watu kama wewe
"Bothwell School of Witchcraft – Witchards Society" Bothwell School of Witchcraft – Witchards SocietyKuna watu tunachukia kukulia Afrika, ni kwa sababu ya mawazo ya kijinga kama haya.
Ni ujinga uliopitiliza kiwango kiasi kwamba ni aibu sana.
Wanarogwa wenye nguvu za kiroho, kiuchumi, ushawishi nk huwezi roga mtu asie na faidaHuna SPIRITUAL POTENTIAL.
Si ajabu wewe ni BOKSI TUPU kwa ndani na kwa nje, AN EMPTY SHELL WITH NO SPIRITUAL VALUE.
Wanalogwa waliobeba vitu vizito ndani, na sio MAGARASA.
You cannot BEWITCH a BOX FOR it is devoid of energies and TRUE LIFE FORCE.
Cc: Pascal Mayalla Namba Moja ajaye nchini DR Mambo Jambo min -me mimi_ni_mshamba Kapeace
Sijasoma hiyo link."Bothwell School of Witchcraft – Witchards Society" Bothwell School of Witchcraft – Witchards Society
Kwa hiyo uchawi upo ikiwa mpaka unasomewa!?.. tofauti na mnavyodai 'mliostaarabika' kwamba haupo?Sijasoma hiyo link.
Nataka nikuambie tu kuwa hata wazungu zamani walikuwa wanaamini ushirikina.
Walikuwa kuevolve fasta wakaachana na hizo imani.
Hizo mnazoona nyie ni mazingaombwe sijui miujiza kule china wanasoma kama kozi mtu anagraduate.
Ni kwa sababu siku hizi watu mnaamini Sana uongo kuliko ukweli kiasi hata mkiambiwa ukweli hamuukubali especially kama unahusu mlengo usioufuatilia.Acha uongo wa kijinga wewe. Humu kuna watu wazima wengi.
Taja jina la benk, taja siku ya tukio. Watu tukapeleleze.
Acha story za kutunga tunga tu
Huna SPIRITUAL POTENTIAL.
Si ajabu wewe ni BOKSI TUPU kwa ndani na kwa nje, AN EMPTY SHELL WITH NO SPIRITUAL VALUE.
Wanalogwa waliobeba vitu vizito ndani, na sio MAGARASA.
You cannot BEWITCH a BOX FOR it is devoid of energies and TRUE LIFE FORCE.
Cc: Pascal Mayalla Namba Moja ajaye nchini DR Mambo Jambo min -me mimi_ni_mshamba Kapeace
Hakuna proof yoyote wala siwajibiki kutoa proof popote.Another goal post move. Y'all come with all types of excuses but proof.
Nimesema naomba uthibitisho wa ushirikia, mloge mwenye potential kama mimi hamuniwezi maana ni dhahiri sasa uchawi wenu hauna nguvu. Paa na ungo, penya ukutani kila mtu aone to prove your point yote hamuwezi, sasa mnaweza nini?
Mimi nachotaka ni proof in any way, shape, or form.
Mna story nyingi sana ila vitendo sifuri. Inabidi uwe zwazwa pro kuamini ushirikia upo.
Weka ushahidi ulionyooka kuhusu hilo tukio la ngamia kuzama.
Taja jina la mtaa, kijiji, kata, wilaya na mkoa ambao hilo tukio lilitokea. Na namba ya nyumba kisomo kilipofanyika
Taja tarehe ambayo tukio lilitokea
Taja jina la mganga aliekuwa anamsomea ngamia mpaka akazama.
Pia Taja mmiliki wa nyumba iliyozama ardhini, mtaa , wilaya, na mkoa. Na tarehe ambayo nyumba hiyo ilizama.
Toa hizo taarifa zote ili tupeleleze tuthibitishe kama ni kweli ama uongo
Hakuna proof yoyote wala siwajibiki kutoa proof popote.
Haya ni maelezo matupu yasiyo na uthibitisho wowote, unaweza kuyapuuza kwa wakati wowote ukitaka.
Ndio demokrasia. HAKI ZA BINADAMU.
Hata ukichagua kuwa MJINGA ni HAKI YA BINADAMU pia.