Simao Latino
JF-Expert Member
- Jan 11, 2025
- 477
- 608
- Thread starter
-
- #181
Hapana mkuu. Mkoloni Muingereza ndio aligawa kuwa Temeke watakaa waswahili tabaka la chini, Ilala wahindi ni waarabu tabaka la pili na Kinondoni (Masaki, Oyster Bay) ni wao Wazungu tabaka la juu (ruling class)Temeke hali sio shwari kule kulikuwa ni sehemu ya viwanda, Kinondoni kwa makazi na Ilala ni biashara na Ofisi
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Wewe ndio uliwazaa? Walikuomba? Wazazi wao wapo.Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke nilishuhudua mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu 2,000, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.
Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.
Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Temeke ni too much mkuu. Mbagala pekee tu funga kazi achilia Tandika na Keko..Ila Kinondoni ndio kiboko maana inamiliki Mwananyamala, Tandale, Kinondoni mkwajuni na viunga vyake, kuna sehemu nimeisahau jina nako kuna hayo maisha ya jero jero. Daaah.
Vingunguti iko ilala pia ndugu yangu.
Kwa ufupi wakazi wa Dar es salaam hasa wazawa wana hali ngumu sana.
Sad indeedDuh aiseee inasikitisha sana
Waliokuwa wanazaa waliambiwa vya Bure viko wapi?Nature italea, watakaosavaivu hadi mwisho ndo watakaoshinda. Wazaliane tu na Chalamila afute kauli ya kwamba eti waende na gloves, wataweza wapi watu wa aina hiyo?
Aiseee Keko nimeishi miaka 2, Temeke miaka 3 viunga vya sandali a.k.a mikoroshini.Temeke ni too much mkuu. Mbagala pekee tu funga kazi achilia Tandika na Keko..
Mkuu, hao wote walionipiga spana ni watoto wa Temeke wanaona kama vile ninawadhalilisha wakati ninawaonea huruma..Ila binadamu hapana aisee π
Kuna watu wanajua kupiga spanaa!
Jamaa amechezea Spana za kutosha! Bora usingeanzisha uzii ukabaki kuwaombea π.
Hii duniani Mungu ameumba watu! ***** unaweza kufa kwa maneno ya shombo ya wanadamu.
Fanalekiiiiiiii ...
You will be fine... you will be fine... kukosa hata Tsh 500/= mfukoni ni zaidi ya janga. Nitafunga siku 3 bila kula kitimoto rosti ili nikuombeeMimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke nilishuhudia mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa inawauma) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu 2,000, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.
Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.
Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Mimi nilikaa Keko Machungwa. Wewe Keko ipi??..Aiseee Keko nimeishi miaka 2, Temeke miaka 3 viunga vya sandali a.k.a mikoroshini.
Wanawake wananuka madeni ya chupi mkononi
Poa mkuu wangu..You will be fine... you will be fine... kukosa hata Tsh 500/= mfukoni ni zaidi ya janga. Nitafunga siku 3 bila kula kitimoto rosti ili nikuombee
Juniors wa Masaki na Ununio. Aisee life ni hatari sana..Alafu huku kuna dogo Jr kula mpaka awekewe kideo. Na kubembelezwa sana.
Umetoka vingunguti unaenda kuwacheka wa mwembeyangaMimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke nilishuhudia mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa inawauma) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu 2,000, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.
Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.
Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Nadhani ni Keko mwanga. Nyuma ya gereza bongeniMimi nilikaa Keko Machungwa. Wewe Keko ipi??..
Mpaka machozi yakamtoka πMwamba alijisikitikia mwenyewe. π
ππUmetoka vingunguti unaenda kuwacheka wa mwembeyanga
Hpn Moshi na dzm ndo sehemu nakula mdudu kipindi hikoInawezekana ulikula yule mnyama wa Iringa, huwa kichwa chake kinafichwa
....kula kwa akina Matumla??..Nadhani ni Keko mwanga. Nyuma ya gereza bongeni