Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Nyie watu πππHakuna habari ya fixed budget hapa , jamaa ni choka mbaya ila ni ile ya nyani haoni kundule.
Hata kama hana pesa mfukoni si mabanda ya mawakalanwa huduma za M pesa tigo pesa yapo kila mahala.
Si anageenda kuwatolea hata 5000 watoto wamalize siku vizuri na yeye akapata thawabu kwa Mungu?
SuhendraMimi Nina shida basi nipo nakula miguu ya kuku hapa
Hayo matusi siyajuwi nikutukane niniΒΏNitukana kama mwenzako uone matusi nitakayokuporomoshea. Silei ujinga tena sasa hivi..
Okay. Good..Hayo matusi siyajuwi nikutukane niniΒΏ
Mkuu,Kamdomo kamdomo kamdomo π
Mzee wangu kwa kipindi Cha 2010' alikuwa butcher man afu pia anajua cateringMimi supu ya miguu ya chair fire sijawai kula.
Na roho nyepesi kongoro haipiti kabisa kwenye koo...japo Jana nimepiga mdudu wa kukausha nikapiga na spirit kidogo siku ikapita
Huna hata jero,ona sasa,ona sasa hizo comments π€Mkuu,
Unataka kusemaje π
Kwa Nini humgusi mdudu.Mzee wangu kwa kipindi Cha 2010' alikuwa butcher man afu pia anajua catering
So kwenye kuandaa ana andaa mwenyewe anajua vizuri
So yeah!! Inakuwa Bomba tuu
Japo mdudu mtamu siku hz simgusi namwona kwa mbali tuu π πππ
Mkuu,Huna hata jero,ona sasa,ona sasa hizo comments π€
Usingekuwa unaweweseka namna hii..Ninae kanituliza mieβ€οΈ
Kweli mkuu, mambo magumu,nafuu hata kijijini!Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke nilishuhudua mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.
Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.
Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
....kwa watoto, roho huwa inaniuma sana.Kweli mkuu, mambo magumu,nafuu hata kijijini!
Kwa sasa ananipa allergic naona hivyoKwa Nini humgusi mdudu.
Hahaha....JF raha sana.Umetoka Ilala na hukuwa na JERO? Kulikuwa na haja gani ya kupaita Temeke Uswahilini ilhali nyote mnabangaiza tu!?
Starehe ya masikini ni sex pekee..Sasa km ndio kitu pekee wanachokipenda hapa duniani kuliko vitu vingine vyovyote unataka nini kitokee?
True true aisome min-meKwa sasa ananipa allergic naona hivyo
Japo naikubal sana taste yake na ile harufu plus a mls of spirits Yah!! ππ
Sad indeedHuo ndio uchumi wa Bluu mnaoambiwa unapigwa mwingi
Afande, unamcheka mwenye dhiki??..Duh nimechaka tu