Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Sijacheka tangu asubuhi ila jamaa amenichekesha sana.Mleta uzi kumbe nae mchovu tu hajiwezi,apuuzwe
Nimekaa Keko miaka 24. Keko Machungwa..Maisha ya dzm Yana mfanano flani ambao hatutofautianii sana
Ambapo naona hata uswahilini huko wako vzr tuu
Pengine huyo mama mvivu kupika lkn kwa bajeti ya buku mbili akiwa na mkaa au gas mbona anakula vzr tuu ππ
Nihamie keko Kuna supu na chapati tamu pale MSD pale ππ
Sweetheart una nini lakini??..Kamdomo kamdomo kamdomo π
Sex na ngono ndio starehe zao sasa unafikiri watafanyaje na wanazaa sio poa yaan dah acha kabisaStarehe ya masikini ni sex pekee..
Nimeeleza hali halisi ili atakayeweza kuwasaidia, afanye hivyo..Kwa hio umeona uwachane wakazi wa Temeke au viongozi wao?
Hakuna ukweli hapoAfande, unamcheka mwenye dhiki??..
Mwenyeji wangu aliniambia hiyo ndio kwaheri mpaka Usiku..Usikute aliwapa waponze njaa baadae awapikie ila kama ni maisha changamoto basi tuendelee kupambana hasa kipindi hiki Cha mkutano wa umeme
Nimewaza hivyo pia, ni mvamizi.Wewe hukai Ilala. Mwandiko wako wa Kanda ya ziwa
Njoo KivuleNimewaza hivyo pia, ni mvamizi.
Kwann πTrue true aisome min-me
Sio lazima uniamini..Hakuna ukweli hapo
Ila wangetumia njia za uzazi wa mpangoSex na ngono ndio starehe zao sasa unafikiri watafanyaje na wanazaa sio poa yaan dah acha kabisa
Mimi ulienitoa machozi ni wewe mkazi wa ilala uliekosa mia5 ya ziada ππMimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke nilishuhudua mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.
Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.
Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Watafika tu hayo maisha Yako tz nzima kule masaki (Coco beach) Kuna watoto wanaomba chakulaMwenyeji wangu aliniambia hiyo ndio kwaheri mpaka Usiku..
Shida wanafajifanya ma suoer women, ubabe mwingi, na kujikuta wanaweza muda leo watoto peke yao. Hao watoto ukute baba zao wako maeneo hukoo wala hawana hizo shida ndogo ndogo za kumuda ugali mara 2 kwa siku na chai andazi 1 kwa watoto waoMimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke nilishuhudua mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.
Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.
Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Hivi Tandale ipo wilaya gani
Kino
Upo sahihi mimi sioni Cha kubishana dar karibu kote Hali ni ile ileNimekaa Keko miaka 24. Keko Machungwa..
Temeke hali inatosha mnoo mkuu..Sijacheka tangu asubuhi ila jamaa amenichekesha sana.
Kama mmemwelewa sio kwamba anawakejeli Wanatemeke, maana hata yeye hali yake ni mbaya mno.
Ndio kumaanisha kwamba Sio ty watu wa temeke bali Dar es saalam yote na pengine Nchi nzima.
Oyaaa uzazi wa mpango kwanini?Ila wangetumia njia za uzazi wa mpango