Mnaomchukia Rais Samia mna hoja au ni chuki tu?

Huyo ni mpumbavu haswaa wala si kidogo.

Hizo tozo wangeweka kwenye bia na sigara huko sio kwenye vitu vya kugusa maisha ya mtu kama mafuta na mbolea vinavyoleta after effects kwa
raia.

Halafu utashangaa wanamdiss Magufuli ooh
alikwapua hela za matajiri sijui kwenye kodi za arrears. Sasa mtu alikuwa ana malimbikizo ya kodi kwanini asilipe? Waliuponda huo mfumo ila na wao wameanza kuutumia mbaya zaidi na matozo juu yake. Hili la tozo linatosha ku justify kuwa uporaji wa hela umehamishiwa kwa maskini.
 
Mkuu kwani wew upo abroad?
Nikupe hongera kwa kufurahia haya yanayofanyika, mimi maza na Madelu sioni kitu wanafanya kwa uchumi wa nchi

Maza hana authority, hanaaa!!
Hau!Tulipofikia ni uchumi wa dunia kuyumba.Tukianza kulaumiana hatufiki.Ni wakati wa kifunga mikaja.Kama huna mkaja funga hata mkwiju au mkanda.
 
Hapa kwenye mafuta na mahindi umeandika ujinga. Yangepanda zaidi ya hivi na wananchi mngenunua kwa kushangilia na yule ambaye angelalamikia mafuta angeambiwa ajaze mkojo wake kwenye gari lake aendeshe. Wapi JPM alikuwa responsible kwa majanga?
 
Hapa kwenye mafuta na mahindi umeandika ujinga. Yangepanda zaidi ya hivi na wananchi mngenunua kwa kushangilia na yule ambaye angelalamikia mafuta angeambiwa ajaze mkojo wake kwenye gari lake aendeshe. Wapi JPM alikuwa responsible kwa majanga?
Dah!Kila nikikumbuka watani zangu wa Katerero(Wa'aya) walivyodhulumiwa haki/hela yao ya tetemeko nakosa furaha.Yooooh...bhooojhoo!
 
We kenge usijibu Kwa hisia huyo mother hakuna kitu hapo.


Nyie watoto wa kinda garden ndo mnamtetea. Hatumpendi Ka nini.


Juzi nimeota DR mpango kaapishwa kuwa Raisi ngoja nisubiri.

Mnaompenda mpende kivyenu.msitulazimishe kushabikia ujinga.
Matizo ni.mengi zaidiya bei ya mafuta.
Mat
 
Hayo unayozungumza ya 'ingekuwa....' ni ya kusadikika
 
Hivi mnakuwaga na maslahi gani?maana unakuta mtu unashupaa kama kimba la makande oooh mama sijui nini Mama alikunyonyesha lini?Ukweli ni kwamba maisha ni magumu na yanazidi kuwa magumu sàsa kinachokufurahisha boya wewe sijui unapata raha gani watanzania wakipata shida Chawa mkubwa wewe
 
Hamia ambako maisha ni rahisi,nani aje akufanyie Kazi? In Magu's voice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…