Mnaomchukia Rais Samia mna hoja au ni chuki tu?

Utaota hadi 2030 unless Afariki..Tena Huyo Mpango akiwa Rais ndio Maji mtaita mmaaa
 
Toa ufala hapa,niliuliza unafanya miamala ya kiasi gani kwenye salary inayozodi ongezeko la salary? Nipe Jibu wewe kimba..

Rais kuendelea kuwakenulia watu kama nyie ndio emnaongea Sana ujinga,hapo tuu ndipo nilikuwa namkubali Mwendazake anakupa jibu dry na ukizingua unatekwa unachezea kichapo unakauka mazima,saizi si ana wachekea mnaongea upumbavu..

Tzn inazalisha mafuta? Kwa nini msihamie kwenye maisha rahisi.
 
🐒🐒🐒
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Kama Nchi gani?
 
We unazingua kmmmk
 
We unazingua kmmmk
Mnachekewa na kudeka kwa mama,Museven,Kagame na wengine around EAC hawakopeshi wanawachana live na mkizongua mnakula chuma..

Tanzania na Kenya ndio wanatoa ruzuku ya mafuta ,Kenya Kwa sababu ya Uchaguzi Tanzania kwa kudekeza watu.
 
We chawa tu kmmmk af huna akili hata moja. Yani sawa na kopo la mkojo. Nchi yetu ina rasilimali kibao ambazo kwa kutumia robo yake tu tungeweza kubadili hali za maisha completely ila sababu wajinga wamejaza madarakani "Never underestimate the power of stupid people in groups"
 
Mnachekewa na kudeka kwa mama,Museven,Kagame na wengine around EAC hawakopeshi wanawachana live na mkizongua mnakula chuma..

Tanzania na Kenya ndio wanatoa ruzuku ya mafuta ,Kenya Kwa sababu ya Uchaguzi Tanzania kwa kudekeza watu.
Ruzuku gani mafuta 2,41O??? RUZUKU au kiini macho? Ruzuku ilitakiwa ikate bei ya wese by 5O%
 
Wanaharamu hao wasiojielewa. Mungu ampe maisha marefu na afya njema mama tumechelewa sana kumpata kiongozi bora kama Mama Samia.
 
Si bora hiyo bilion mia kila mwezi zijengwe barabara za kilomita mia mia,imagine kila mwezi tarura wanapewa 0 ya milion mia
Eeh hio billion 100 ya mchongo bora ijenge barabara tu waanze kutanua Kibaha hadi Tunduma nafikiri ndani ya mwaka tu itakuwa ishafika Tunduma
 
Eeh hio billion 100 ya mchongo bora ijenge barabara tu waanze kutanua Kibaha hadi Tunduma nafikiri ndani ya mwaka tu itakuwa ishafika Tunduma
Serikali haiwezi fuata mawazo ya wewe bogus,wenye mitambo wanaona uafadhari hata 100 ikitolewa sio wewe mwenye kirikuu.
 
Hapa kwenye mafuta na mahindi umeandika ujinga. Yangepanda zaidi ya hivi na wananchi mngenunua kwa kushangilia na yule ambaye angelalamikia mafuta angeambiwa ajaze mkojo wake kwenye gari lake aendeshe. Wapi JPM alikuwa responsible kwa majanga?
Jiwe alikua ana foresee mbali, ndiyo maana hata kabla ya nchi kupata upungufu wa chakula mapema kabisa alizui chakula kuuza nje, ndiyo maana bei za vyakula zilikuwa chini, kwa niliyosema ulitaka awe responsible kwa staili gani tena...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…