Uzalendo mkuu....uzalendo.Kwanza hukuwa na option ya kukataa manaa ni lazima
Hatutaki uchuro.Kama Jiwe alikufa kabla ya kumaliza, huyu naye hatamaliza 2030
Upigaji kwa style nyingineJK aliwaambia waige ya Thailand, wao wameenda copy paste Ikulu ya Magogoni.
Matokeo yake ndio haya, tunaanza jenga Samia Complex kwa gharama nyingine.
Kwani hiyo 'them' huyo 'her' hakuwemo?!!!! Au kuonyesha msisitizo?Complex ya Samia. Ana tabia kama za Kenya, kila kitu kiliitwa Kenyatta na Moi kana kwamba wangeiishi milele. Shame on them and her
Jamani ikulu zote dunia zinahitajika kuwa self sufficient kwa mahitaji yote muhimu. Kumbi za mikutano, migahawa au hoteli kwa ajili ya wafanyakazi, makazi ya rais na wafanyakazi muhimu ambao ni wasaidizi wa rais, kwa kutaja kwa uchache!Complex ya Samia. Ana tabia kama za Kenya, kila kitu kiliitwa Kenyatta na Moi kana kwamba wangeiishi milele. Shame on them and her
Most protected, Highly protected. Usitumie secure! Inaweza ikawa protected lkn isiwe secure.Katika nchi yoyote, Ikulu is one of the most, if not the most secure premise. Maana hapo ndio ofisi za madaraka ya juu kabisa.
Pamoja na kupongeza ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino, nimeshangazwa sana na mapendekezo mapya ya majengo ya huduma.
Pengine kama sijaelewa maana yake.
-Kutakuwepo na jengo la Samia Complex,
-Ukumbi wa mkutano wa watu 2000 hadi 3000.
-Uwanja wa ndege.
-Jengo la Zanzibar
-Majengo ya East Africa
Sasa hapo nikajiuliza unapokaribisha umati kama huo wa watu ndani ya Ikulu, na wahudumu ambao kazi zao si za moja kwa moja na shughuli za Ikulu, na ukumbi ambao hauna commercial use, maana yake nini kiuhalisia?
Usalama wa Ikulu yenyewe kama hiyo itakuwa na gharama kubwa .
Kwa 98% , majengo pendekezwa yatakuwa hayatumiki kwa day to day business.
Pale Ukumbi wa CCM Jakaya Kikwete, ukumbi uko mjini lakini kuna popo, maana matumizi yake kwa mwezi ni mara moja au mbili.
Kama kuna mikutano mfululizo pengine mara moja ndani ya miezi mitano au sita.
Washauri wa Rais, kwani hamuoni hiyo mis use ya public funds?
Si tu kujenga white ekephants lakini ni kuchezea kodi zetu, ambazo wana Kariakoo wametuwakilisha vema zinavyotuumiza.
Secure mkuu, maana security cannot be compromised!Most protected, Highly protected. Usitumie secure! Inaweza ikawa protected lkn isiwe secure.
Could not have said it better!Secure mkuu, maana security cannot be compromised!
Achana na kusikia, wacha tuone kwa machoUlisikia wapi ikulu ndani mna soko?
Poa mkuu, saidieni kuwaeleza vijana wa kileog, hata handaki hawajui linafananaje!Tupo wadau, tunaendelea kuwafuatilia wajuzi wa jf wakiendelea kudadavua wanachokijua......πππ
UONGOKwani rais ni adui wa wananchi? Mleta mada, ninyi ndiyo mnaowafanya marais wa Afrika wajione miungu-watu.
Mbona kule ikulu ya Marekani kuna vituo vya redio, maofisi ya makampuni, swimming pool n.k ambapo watu hufanya kazi na kustarehe kama kawaida.
Karibu na ikulu ya Dar hakuna Kambi za mikutano?Ni kweli kaka lakini kutokana na unyeti wa ikulu na udhaifu wa ulinzi wetu ulio legezwa na wana siasa watu ndio wanakuwa na mashaka na hilo, kumbuka sasa Dunia imekuwa ina mambo mengi sana hasa ya ugaidia nk.
Wewe kipaombele umeona ni nini?Ikulu complex, siyo? ngozi nyeusi tuna shida sana............kwamba hicho ndo tumeona kipaumbele!
Ha ha ha!Kwani rais ni adui wa wananchi? Mleta mada, ninyi ndiyo mnaowafanya marais wa Afrika wajione miungu-watu.
Mbona kule ikulu ya Marekani kuna vituo vya redio, maofisi ya makampuni, swimming pool n.k ambapo watu hufanya kazi na kustarehe kama kawaida.
Habari nzima ya kuhamisha makao makuu ya serikali kwenda Dodoma ni white elephant project, si Ikulu tu.Katika nchi yoyote, Ikulu is one of the most, if not the most secure premise. Maana hapo ndio ofisi za madaraka ya juu kabisa.
Pamoja na kupongeza ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino, nimeshangazwa sana na mapendekezo mapya ya majengo ya huduma.
Pengine kama sijaelewa maana yake.
-Kutakuwepo na jengo la Samia Complex,
-Ukumbi wa mkutano wa watu 2000 hadi 3000.
-Uwanja wa ndege.
-Jengo la Zanzibar
-Majengo ya East Africa
Sasa hapo nikajiuliza unapokaribisha umati kama huo wa watu ndani ya Ikulu, na wahudumu ambao kazi zao si za moja kwa moja na shughuli za Ikulu, na ukumbi ambao hauna commercial use, maana yake nini kiuhalisia?
Usalama wa Ikulu yenyewe kama hiyo itakuwa na gharama kubwa .
Kwa 98% , majengo pendekezwa yatakuwa hayatumiki kwa day to day business.
Pale Ukumbi wa CCM Jakaya Kikwete, ukumbi uko mjini lakini kuna popo, maana matumizi yake kwa mwezi ni mara moja au mbili.
Kama kuna mikutano mfululizo pengine mara moja ndani ya miezi mitano au sita.
Washauri wa Rais, kwani hamuoni hiyo mis use ya public funds?
Si tu kujenga white ekephants lakini ni kuchezea kodi zetu, ambazo wana Kariakoo wametuwakilisha vema zinavyotuumiza.