Mnaonaje Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035?

As if you know nothing About THE sufferings of Zanzibaris due to this inversion of Tanganyika
Where did Tanganyika go and why, after the invasion of Znz? Zanzibar is there and where is Tanganyika? So who is most affected btn Zanzibar that still exists and Tanganyika that is not existing any longer! By the way, you needed to paraphrase your sentence to show whether you meant invasion of Tanganyika or invasion by Tanganyika.
 
Unauliza au unapigia jibu mstari?
Kama unasema nipigie mstari jibu kwamba uelewa wako ni mkubwa kuwa Ikulu iko juu ya katiba kwamba haiwezi kukaguliwa na CAG basi kumbe Rais ambaye ndiye Mkuu wa taasisi ya Ikulu aongoze milele kwa kutumia uelewa wako kwamba yuko juu ya katiba.
 
Tanganyika ipo imelivaa koti la muungano.

Kuhusu invasion of Zanzibar
Msikilize Lukuvi anaongea nini kanisani

 
Tanganyika ipo imelivaa kitu la muungano.

Kuhusu invasion of Zanzibar
Msikilize Lukuvi anaongea nini kanisani

I have noted you have difficulty in grasping the content particularly the viva voce. This bars you to sound intellectual.
 
Anapaswa kuandika katiba mpya ndo aanzie hapo ili aisimamie kwa miaka 10 aione kama ni katibat mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…