Mnaonaje Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035?

Mnaonaje Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035?

As if you know nothing About THE sufferings of Zanzibaris due to this inversion of Tanganyika
Where did Tanganyika go and why, after the invasion of Znz? Zanzibar is there and where is Tanganyika? So who is most affected btn Zanzibar that still exists and Tanganyika that is not existing any longer! By the way, you needed to paraphrase your sentence to show whether you meant invasion of Tanganyika or invasion by Tanganyika.
 
Unauliza au unapigia jibu mstari?
Kama unasema nipigie mstari jibu kwamba uelewa wako ni mkubwa kuwa Ikulu iko juu ya katiba kwamba haiwezi kukaguliwa na CAG basi kumbe Rais ambaye ndiye Mkuu wa taasisi ya Ikulu aongoze milele kwa kutumia uelewa wako kwamba yuko juu ya katiba.
 
Where did Tanganyika go and why, after the invasion of Znz? Zanzibar is there and where is Tanganyika? So who is most affected btn Zanzibar that still exists and Tanganyika that is not existing any longer! By the way, you needed to paraphrase your sentence to show whether you meant invasion of Tanganyika or invasion by Tanganyika.
Tanganyika ipo imelivaa koti la muungano.

Kuhusu invasion of Zanzibar
Msikilize Lukuvi anaongea nini kanisani

 
Tanganyika ipo imelivaa kitu la muungano.

Kuhusu invasion of Zanzibar
Msikilize Lukuvi anaongea nini kanisani


I have noted you have difficulty in grasping the content particularly the viva voce. This bars you to sound intellectual.
 
Nachokoza mada.

Wadau mnaonaje kama Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035? Kwa kuwa Rais Samia alichukuwa nafasi yake kufuatia mauti ya mtangulizi wake mwanzo wa safari na kwamba hakukuwa na utaratibu wa mila na desturi ya uchaguzi bali ilikuwa ni kutimiza matakwa ya katiba.


Kiuhalali na kwa haki kwake, anastahili kuwa wa pili nyuma ya Mwl Nyerere kwa kukaa ofisini kwa miaka 15 kwa maana ya miaka aliyopokea kijiti kwa sharti la katiba na ndipo sasa astahili utaratibu wa mila na desturi yetu ya uchaguzi ambapo anaruhusiwa awamu mbili 2025 – 2035?

Nini maarifa yako, tupe maoni kwa vigezo na ushahidi.
Anapaswa kuandika katiba mpya ndo aanzie hapo ili aisimamie kwa miaka 10 aione kama ni katibat mzuri
 
Back
Top Bottom