Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mbaya zaidi huyu ni mzanzibar hatumtaki kabisaYule mwingine mlianza hivihivi akajifia mbali.
Na huyu naye mnataka kumuua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbaya zaidi huyu ni mzanzibar hatumtaki kabisaYule mwingine mlianza hivihivi akajifia mbali.
Na huyu naye mnataka kumuua?
Aende kikwajuni huko akaongoze maana hata Chunya hatawezaAkaongoze kule kwao Chunya
Kwanza sisi tumechoka kuongozwa na mtu kutoka nchi nyingineAende kikwajuni huko akaongoze maana hata Chunya hataweza
Kwanza sisi tumechoka kuongozwa na mtu kutoka nchi nyingine
Mnaweza kubadili katiba ili bimkubwa awe malikia wa milele kwe uchaguzi mkishindwa kuiba kura lisu anakua mfalme wenu wa mileleHilo ndo hitaji la wananchi wengi kwa sasa. Inabidi wabunge wafanye kitu pale kwenye katiba ili Mama aendelee kuongoza angalau hadi 2035.
Akaongoze kwaoSamia must go
Tena ww ndio inafaa uondoke hata leo, huna faida kwa taifa zaidi ya kujipendekeza kwa watawala!Embu tuondolee ushetani wako hapa wewe
Chunga kauli aisee , ila kweli hakuna jambo au utawala usio na mwisho , wahenga walisema hakuna marefu yasio na ncha , kama Roman, persian na Ottoman Empire zilidondoka kwani hIi empire ya Kijani na utawala wake Dhalim kwa wanyonge isidondoke, ivii unafaham kuna watu mpka sa iz wanaish chini ya Dolla 1, bado wanafunzi wanasoma chini bila madawat hii inatokana na nn, afu mawaziri na wabunge wanakukula mishahara above 5 mill na kutembelea magari yenye thamani sawa na shule moja ya kata , afu mnasema nchi yakizalendo tafakuri kwa hilo....!!!?Mimi nimeongea kizalendo
Wewe jamaa ni msafwa.? Mwashambwa ni watu wa MbeyaEmbu tuondolee ushetani wako hapa wewe
Kama kikwete angeongezeaa tungempataje Samia ambaye ni bira kuliko JK. Na je hauoni tuna weza kumpata bora zaidi kuliko Samia?Ndugu zangu Watanzania,
Katiba siyo msaafu wala siyo Biblia. Katiba yetu ilitungwa na wanadamu ambao ni watanzania kwa lengo la kuwa kama muongozo wa masuala mbalimbali ya kuongoza Nchi yetu. Katiba Ni karatasi tu zilizojaa maneno ya namna gani ya jambo fulani lifanyike na hatua zipi zifanyike na kufuatwa katika kufikia hitimisho la jambo fulani.
Katiba yetu ipo kwa ajili yetu watanzania na ni kwa ajili ya ustawi wetu pamoja na Taifa letu kwa ujumla wake. Ni muongozo wa mambo yetu wenyewe.
Nilikuwa napenda kuwaambieni watanzania Wenzangu ya kuwa tufike wakati tutambue ya kuwa viongozi aina ya Rais Samia hawazaliwi kila siku na wala hawapatikani kila Nchi na wala siyo Rahisi kuwatengeneza .
Huyu Rais ni Mchapa kazi kwelikweli,ni mzalendo aliyetukuka na ambaye huwezi kumtilia shaka juu ya uzalendo wake,ni kiongozi mwenye maono,akili kubwa,upeo mkubwa na Karama ya uongozi. Ni kiongozi ambaye amejitoa na kujitolea Maisha yake Kama Sadaka kuwatumikia watanzania.
Ameyatoa Maisha yake kama Zawadi kwa Watanzania. Sasa kwanini tusithamini na kutambua Moyo huo wa upendo wa kipekee wa Rais wetu? Kwanini tusibadilishe katiba yetu ili Mama aendelee kuongoza Taifa letu.
Uzuri wa Mama yetu ni kuwa bado yupo imara kimwili na kiakili. Akili yake inachemka Muda wote na hapa unaweza kuona kupitia mipango yake na mambo makubwa aliyoyafanya na anayoendelea kuyafanya hapa Nchini.
Jiulizeni Angela Merkel aliiongoza Ujerumani kwa miaka mingapi.Kumbukeni ya kuwa Ujerumani ndio Taifa lenye uchumi mkubwa sana barani Ulaya. Na ni yeye aliyefanya kazi kubwa ya kuhakikisha kuwa Ujerumani inaendelea kuwa imara kiuchumi.
Sasa kwanini tusimpatie Mama yetu Muda zaidi wa kuongoza Taifa letu ili tufaidi vyema kazi ya mikono yake ? Mnafikiri ni Nchi gani hapa Afrika mashariki na ukanda huu wa kusini Mwa jangwa la Sahara itakayotufikia kiuchumi?
Huyu Hapa Mama wa Shoka Jasiri Muongoza Njia👎View attachment 3225535View attachment 3225537View attachment 3225539View attachment 3225540
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ya umri au ya kuwa madarakani kama rais?Trump ana miaka mingapi?
Utakufa wewe na ujinga wakoKama unataka afie madarakani jaribuni muone
Umesamehewa dhambi zako bure kabisaMbwa wewe
Ungeacha wenye akili Timamu wajadili hojaUnapokuwa na majizi kama hili nchi haiwezi kupata maendeleo
Labda wewe ndiye fisadi. Uwe na adabu weweFisadi apewe uongozi wa kudumu?
Never...
Bibi Titi must go 🐸