Mnaoshinda mitandaoni mnafanya kazi saa ngapi?

Mnaoshinda mitandaoni mnafanya kazi saa ngapi?

Umofya kwenu members! Umofya tena !!!

Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu ( ids) kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni .
Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa ?
Nawasilisha

Get to know siku hizi watu wengi kazi zao zinahitaji muda mwingi kuwa online…kuna wafanyabiashara, kuna watu wanaandika/wanatuma/kupokea report 24/7 kuna wanaosoma pia office nyingi zimerahisisha kuwa na wi-fi so mtu akifika ofisini anakuwa online siku nzima…

Hiyo inapelekea interactions kuongezeka from social media to news sites to educational sites ndo maana inakuwa rahisi mtu kuwa online kila muda
 
Umofya kwenu members! Umofya tena !!!

Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu ( ids) kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni .
Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa ?
Nawasilisha
Kuna Wengine waki Log In tu hapa JamiiForums au Mitandao mingine Miamala yao inasoma na kuwa na Kipato kuliko Wewe unayehoji na ulioanzisha huu Uzi.
 
Vidole havilingani boss...

Kuna ambaye ameajiriwa na kampuni ya nje anaamka saa kumi, anajibu emails, anapitia ripoti, anaandaa ripoti ikifika saa moja amemaliza. Field anaenda mara 3 kwa qtr, Analipwa $3500 kwa mwezi.

Muda mwingi kuanzia saa tatu yupo tu, ana aprtment zake anakula kodi. Baba yake alimwachia urithi ghorofa 2 hapo kariakoo na zipo full. Yupo kwenye 30's.
 
Vidole havilingani boss...

Kuna ambaye ameajiriwa na kampuni ya nje anaamka saa kumi, anajibu emails, anapitia ripoti, anaandaa ripoti ikifika saa moja amemaliza. Field anaenda mara 3 kwa qtr, Analipwa $3500 kwa mwezi.

Muda mwingi kuanzia saa tatu yupo tu, ana aprtment zake anakula kodi. Baba yake alimwachia urithi ghorofa 2 hapo kariakoo na zipo full. Yupo kwenye 30's.
Kuna Wapumbavu Wengine wanataka Kulazimisha kama Wanavyohangaika Wao Kimaisha basi iwe ni kwa kila Mtu wakisahau kuwa kuna Watu Wengine Wazazi wao Walipambana na kuwanyooshea Watoto wao Maisha kiasi kwamba Kukaa Njaa Kwao kutakuwa ni Historia.
 
Tukiachana na maisha yao binafsi.
Hata mimi najiulizaga sana kuna ID masaa 20-24 ziko online zinachangia kila mada na kujua almost everything
Utasema ni robot [emoji1] hivi wenzetu hawanaga ubusy au ndo matajiri!!! Huwa inanishangazaga sana hii kitu
kwani na wewe umejuaje kama wana shinda mitandaoni 20 up to 24 kama sio na wewe ni.moja wao...?
 
Umofya kwenu members! Umofya tena !!!

Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni.

Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa?

Nawasilisha
Hii comment utasoma saa ngapi😀😀😀
 
Kuna Wapumbavu Wengine wanataka kama Wanavyohangaoka Wao Kimaisha basi iwe ni kwa kila Mtu wakisahau kuwa kuna Watu Wengine Wazazi wao Walipambana na kuwanyooshea Watoto wao Maisha kiasi kwamba Kukaa Njaa Kwao kutakuwa ni Historia.
Kabisa mkuu genta.

Kuna watu walishatangulia ugenini kuitazama simba na wapo hotelini tu wakisubiri siku ya mechi ilihali wengine walikosa kiingilio cha kuitazama mechi kwa mkapa.
 
Umofya kwenu members! Umofya tena !!!

Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni.

Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa?

Nawasilisha

johnthebaptist huyu hapa hajui buku 7 zinapatikana wapi? 🤣🤣
 
Umofya kwenu members! Umofya tena !!!

Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni.

Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa?

Nawasilisha
Wengine ni walinzi, wengine mtandao ndio kazi yetu, wengine content creators wengine eti wanafanya kazi serikalini unamkuta mtu ofisini nje watu kibao wanasubiri huduma yeye yuko busy na computer unadhani anafanya kazi kumbe yuko busy na thread ya kula tunda kimasihara.
 
Umofya kwenu members! Umofya tena !!!

Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni.

Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa?

Nawasilisha
Vipi leo wenzetu,off duty au,unakula muda wa mwajiri hapa🤔
 
Back
Top Bottom