Mnaoshinda mitandaoni mnafanya kazi saa ngapi?

Mnaoshinda mitandaoni mnafanya kazi saa ngapi?

Tukiachana na maisha yao binafsi.
Hata mimi najiulizaga sana kuna ID masaa 20-24 ziko online zinachangia kila mada na kujua almost everything
Utasema ni robot [emoji1] hivi wenzetu hawanaga ubusy au ndo matajiri!!! Huwa inanishangazaga sana hii kitu
kuna mmoja alinitukana kuwa nashindia mtandaoni kutwa nipo on line, sijui alijuaje? Kuna aina ya kazi unaweza kuzifanya huku uko on line na kazi inafanyika kama kawaida
 
kuna mmoja alinitukana kuwa nashindia mtandaoni kutwa nipo on line, sijui alijuaje? Kuna aina ya kazi unaweza kuzifanya huku uko on line na kazi inafanyika kama kawaida
yani sisi wa upande huu tunashangaa sana! maana mi hata iwaje siwezi kuwa online jf mda wote hamna cha maana sana, pia siwezi kuwa nafanya kazi huku niko online maana najuaga humu unachangia mada kwahiyo inahitaji utulivu wa akili sio nafanya hiki huku niko online kama muajiriwa wa Jf
 
Umofya Umofya na kwako mkuu

Nikiwa mmoja wa ofsa wasemaji wa wanaoshinda mtandaoni, asilimia kubwa kazi hatuna.

Tunaishi maisha ya kulenga Kwa manati.Pia Kuna wengine kazi zao ni mtandaoni

Wengine kazi zao zinaendelea wakiwa mtandaoni haiwapi tabu kufanya kazi na kuwa mtandaoni

Itaendelea
 
Umofya kwenu members! Umofya tena !!!

Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni.

Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa?

Nawasilisha
Huo muda wako unaofanya utafiti kuanzia asubuhi mpaka lukwili na wewe huwa unafanya kazi ipi?Tukiuacha utafiti wako.
 
Wengi wa wanaoshinda muda mrefu ni askari ambao wanakuwa wapo lindo wanatumia w.i.f.i za bure maofisini na wafanyakazi wengine ambao kazi zao haziwabani sana kuchezea simu muda wote pamoja na kitengo cha ccm cha propaganda mtandaoni yaani chawa.Kwa mtu anayefanyakazi zake binafs ni ngumu sana kuwa active muda mwingi.
 
Umofya kwenu members! Umofya tena !!!

Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni.

Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa?

Nawasilisha
Tunabet
 
Umofya kwenu members! Umofya tena !!!

Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni.

Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa?

Nawasilisha
huku kuwa mtandaoni ndo kazi zenyewe kama hujui we endeleea kubunghaa tu wenzako wanapiga hela
 
Umofya kwenu members! Umofya tena !!!

Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni.

Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa?

Nawasilisha
Ndio Kaz yetu kushinda mitandaoni kusogoa.....

Usituige sisi wengine tunaingiza pesa huku tumelala
Umaskini tumeukimbiza ma kilometer mengi sana....

Cc. Washinda mitandaoni wote kusogoa,
🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣😂😂😂🤣🤣😂😂
 
Back
Top Bottom