Mnaosifia Simba kuwa ni team kubwa Afrika hamjui Mpira. Mnaijua Atletico Madrid ya Spain?

Mnaosifia Simba kuwa ni team kubwa Afrika hamjui Mpira. Mnaijua Atletico Madrid ya Spain?

Timu kubwa Ni Yanga. Simba Ni timu ndogo!

Moyo wako utulie Sasa!

Sema watu wa Yanga hamjui namna ya kuipambania brand yenu badala yake mnaipambania Simba bila kujua mkidhani mnaishusha!

Simba[emoji123]
Hujaelewa hata kidogo.
Sa nikuulize humu kuna nyuzi ngapi za kuisema Yanga eti mara leo itatoka.
So na hao wanabrand Yanga?
 
Nimeona mtoa mada akijaribu kujibu jibu hoja ila naona angeanza kujiita yeye CHIZI.

Anaweka title ya UKUBWA wa timu kisha anazungumzia UGUMU wa Atletico Madrid, uchizi unaanzia hapa nadhani.
  • Atletico, unasema ni timu kubwa au ngumu?
  • Unazungumzia UGUMU au UKUBWA?

Simba, ni miongoni mwa timu 8 bora zilizobaki kwenye michuano ya KLABU BINGWA AFRICA, kama UGUMU, unazungumzia walishindwa CL wakaenda CC, sababu kuna waliotoka kabisa CL bila kwenda CC.

Atletico sio timu kubwa ulaya, Simba ni timu kubwa AFRICA.
Kwan Atletico hua haifiki hadi Fainal Tena huenda nimekosea hadi kuwalinganisha na Atletico wale hua wanafika had fainal ila wanafungwa nyie mnaishia Robo kila msimu.
Labda ungeniita Chizi kwa kulinganisha Team inayofikaga Fainal na ile kila msimu inaishia robo.
Ila ukweli Simba ni Team Ngumu sio kubwa we chizi.ELEWA
 
Hata wewe umewavunjia heshima Atletico. Atletico ana makombe ya kimataifa ya mashindano ya Ulaya. Ana Europa League 3 za mwaka 2010, 2012 na 2018. Hili kombe ni sawa na Shirikisho Afrika. Nitajie idadi ya makombe ya shirikisho ya Simba.

Atletico pia amecheza fainali za Ligi ya Mabingwa Ulaya mara kadhaa ikiwemo 2014 na 2016 na ameingia nusu fainali mara kadhaa. Nitajie idadi ya fainali alizocheza Simba za Klabu Bingwa Afrika.

Acha kufananisha Atletico na vitu vya kipumbavu.
 
Hata wewe umewavunjia heshima Atletico. Atletico ana makombe ya kimataifa ya mashindano ya Ulaya. Ana Europa League 3 za mwaka 2010, 2012 na 2018. Hili kombe ni sawa na Shirikisho Afrika. Nitajie idadi ya makombe ya shirikisho ya Simba.

Atletico pia amecheza fainali za Ligi ya Mabingwa Ulaya mara kadhaa ikiwemo 2014 na 2016 na ameingia nusu fainali mara kadhaa. Nitajie idadi ya fainali alizocheza Simba za Klabu Bingwa Afrika.

Acha kufananisha Atletico na vitu vya kipumbavu.
Mkuu hata mimi kwenye hilo nimekili nimekosea sana...ila Logic ni kua Atletico ikienda UEFA ni Team Ngumu kama simba ila haina ukubwa wowote mbele ya vilabu nilivyoviainisha hapo juu.
Ndio mfano wa simba hii haina ukubwa wowote ila sema ni ngumu tu na hilo limedhibitishwa na match zake,Simba haijawahi kumpiga mwarabu 3 hapa kwa mkapa kila msimu inashinda kimoja inaenda away inatolewa hapo ndio concept ya Atletico inakuja.
 
Kwan Atletico hua haifiki hadi Fainal Tena huenda nimekosea hadi kuwalinganisha na Atletico wale hua wanafika had fainal ila wanafungwa nyie mnaishia Robo kila msimu.
Labda ungeniita Chizi kwa kulinganisha Team inayofikaga Fainal na ile kila msimu inaishia robo.
Ila ukweli Simba ni Team Ngumu sio kubwa we chizi.ELEWA
Ww hiyo timu yako kubwa kinyesi fc mbona hata hiyo robo fainal imesha shindwa kufika tangu ianzishwe miaka zaidi ya miaka 80?
 
Hata wewe umewavunjia heshima Atletico. Atletico ana makombe ya kimataifa ya mashindano ya Ulaya. Ana Europa League 3 za mwaka 2010, 2012 na 2018. Hili kombe ni sawa na Shirikisho Afrika. Nitajie idadi ya makombe ya shirikisho ya Simba.

Atletico pia amecheza fainali za Ligi ya Mabingwa Ulaya mara kadhaa ikiwemo 2014 na 2016 na ameingia nusu fainali mara kadhaa. Nitajie idadi ya fainali alizocheza Simba za Klabu Bingwa Afrika.

Acha kufananisha Atletico na vitu vya kipumbavu.
Kuingia robo fainal unaona ni rahisi hali ya kuwa timu yako utopolo tangu mwaka 1998 hata makundi ya klabu bingwa haijawahi kukanyaga?

Kweli mashabiki wa utopolo ni manyani kama alivyo waita aliye kuwa kocha wao.
 
Kuingia robo fainal unaona ni rahisi hali ya kuwa timu yako utopolo tangu mwaka 1998 hata makundi ya klabu bingwa haijawahi kukanyaga?

Kweli mashabiki wa utopolo ni manyani kama alivyo waita aliye kuwa kocha wao.
Hakuna mahala nimetaja neno robo fainali.
 
Nyuzi Nyingi sana zinaandikwa kuisifia Simba eti ni kubwa Afrika na jana imeonyesha kua ni giant😂😂.

Machizi kweli nyie na kama unasoma huu uzi una hilo wazo huo ni uchizi pia. Hivi Team gani ulaya haiogopi Atletico hii ni Moja ya Team ngumu sana ulaya na Match zake hua zakuvutia sana kuanzia ndani ya uwanja hadi kwa makocha.

Ila nani hajui Atletico pamoja na ugumu wake hua inakufa na kifo ni kilekile kama cha simba hua ni moja Bila au 2-1 lakini wanatoka.

Na ukienda ulaya ukasema Team kubwa ulaya Atletico huwez kuiweka meza moja na R.madrid, Barca, Chelsea, Liverpool, Inter milan, Ac Milan, Bayern na Man United.

Ila ukweli Atletico Madrid hua ni moja ya Team ngumu na kila team hua inaiogopa lakini hua inatolewa. So simba ni kama Atletico Madrid tu.

Sema tunaoisifia na kusema ni giant sijui tunaamaanisha nini niseme hatujui Mpira. Moja wao Genta nani yule ndio maana yupo busy na soka la Bongo.
💩
 
Kuingia robo fainal unaona ni rahisi hali ya kuwa timu yako utopolo tangu mwaka 1998 hata makundi ya klabu bingwa haijawahi kukanyaga?

Kweli mashabiki wa utopolo ni manyani kama alivyo waita aliye kuwa kocha wao.
Na Atletico Madrid robo fainali ya Ulaya kwao sio mafanikio kama ilivyo kwenu nyinyi Makolo hapa Afrika. Ndio maana nimemuonya aliyeweka uzi aache kufananisha Atletico na vitu vya kipumbavu.
 
Na Atletico Madrid robo fainali ya Ulaya kwao sio mafanikio kama ilivyo kwenu nyinyi Makolo hapa Afrika. Ndio maana nimemuonya aliyeweka uzi aache kufananisha Atletico na vitu vya kipumbavu.
Ulaya ni Ulaya na Afrika ni Afrika ukubwa wa Simba barani Afrika unatokana na mazingira na aina ya timu zilizoko barani Afrika ,na udogo wa A.madirid umetokana na mazingira ya Ulaya na timu zilizopo barani humo.
Na ndio maana A.Madirid hata kwenye kumi bora ya virabu bora barani Ulaya haimo lakini Simba iko kwenye nafasi ya 9 kwa ubora barani Afrika.

Weka ushabiki wako wa Utopolo pembeni twende kwa data ,katika ukanda wa Afrika mashariki na kati ukiitoa Mazembe hakuna timu nyingine ya kuifikia kwa mafanikio Simba katika mashindano ya CAF kama ipo itaje.

Ni upumbavu wa hali ya juu kubeza mafanikio ya mwenzako hali ya kuwa ww hayo mafanikio hujawahi kuyafikia.

Yaani unambeza aliye feri mtihani kidato cha sita hali ya kuwa ww umefeli mtihani wa darasa la saba?
Kama ingekuwa ni rahisi kufika hiyo robo fainal basi utopolo wangekuwa wanafika kila mwaka kama anavyo fanya simba.

Kama Simba ni timu ndogo kisa kuishia robo fainal vipi kuhusu timu yako kinyesi fc ambayo haijawahi kuinusa hiyo robo fainal tangu kuanzishwa kwake miaka 80.

Kweli aliye kuwa kocha wenu hakukosea kuwaita manyani.
 
Back
Top Bottom