Mnaotumia bidhaa za Apple® Mnapigwa sana. Sijui hata mnavyotoa hela mnafikiriaga nini?

Mnaotumia bidhaa za Apple® Mnapigwa sana. Sijui hata mnavyotoa hela mnafikiriaga nini?

simu za wanawake hizo, limitations kibao kama napata bure bana
ku-share files na windows PC mpaka ni-install iTunes, si ubwege huo
Hakuna simu ya wanawake duniani, large percent of wanawake wana hold samsung na techno kuliko iphone.
So hiyo inafanya samsung simu ya wanawake?
 
Kampuni la Kimarekani Apple, maarufu kwa kuuza bidhaa za electronics na accessories zake, wanauza ivyo vitu bei ghali sana.

Inawezekana ikawa ni value for money, ila kuna baadhi ya vitu ni wazi wanawaibia "loyal customers" wake, sema ndio ivyo hawaoni au wanajizima data.

Tuachane na iPhone zao kua Million 3 kwenda juu, au Laptop zao za kishua. Ebu Kwa mfano checki izi products:

Mac Pro wheels $700 (Tsh Mil 1.8)

Hii sio computer, ni magurudumu manne ya kuweka kwenye CPU sijui tuiite ya Mac Pro. Hujakosea kusoma.

View attachment 3000624Haya matairi ilibidi wayagawe bure unavyonunua iyo bidhaa yao.

Mac Pro stand $1000 (Tsh Mil 2.6)

Naam. Mil 2.6 tunanunua stendi ya kuiwekea Monitor yetu ya Mac.
View attachment 3000625Hii pia ilitakiwa upewe bure. Kwann walitengeneza computer isio na stendi?

Mikanda ya saa $100 (Tsh Laki 2.6)

Achana na bei ya saa, mkanda tu huu unauzwa laki 2 na nusu na zaidi.
View attachment 3000608

Airpods Max $550 (Tsh Mil 1.4)
Utakua ushakutana na mabishoo wamevaa copy ya aya madude.
View attachment 3000627
Aisee original yake ndio ivo, Mil 1.4 cash.

Apple Pencil $130 (Tsh 340,000/=)
Hii wenzio Samsung ukinunua Tab wanakupa bure sijui kwann wao wanauza.
View attachment 3000606

Mac Pro $7000 (Tsh Mil 18)
Ukiliona kwenye picha kama kidude cha kusugulia nyanya au karoti. Ila ndio ivyo tena, bei ya gari.
View attachment 3000631


Waya type C $30 (Tsh 77,000/=)
Waya tu, wa mita 2 unauzwa hivi. Bila kichwa. Bila protector. Bila kava. Waya.
View attachment 3000614

Cover la Simu la Silicon $50 (Tsh 130,000/=)
Haya makava tunayaona kwa elfu 5 yanauzwa Kariakoo. Wao wanauza bei ya simu.

View attachment 3000609

Mac Pro Display $1500 na Stendi yake inafika hadi $2000 (Tsh Mil 3.9 hadi Mil 5.1)

Hii ni display ya kile kidude cha kusugulia nyanya. Display tu.
View attachment 3000612


Airpods Pro $250 (Tsh 650,000)
Sijawahi tumia kwahiyo sijui mziki wake ila kutoa Laki 6 kisa utu tudude hapana.
View attachment 3000621

Polishing Cloth $20 (Tsh 52,000)
Kitambaa cha kusafishia kioo cha simu au laptop au ipad kinauzwa bei ivo.
View attachment 3000638

Apple Mouse $100 (Tsh 250,000)
Hii ni mouse kama unayoijua sema ya kuchaji.View attachment 3000648Hafu port ya kuchajia ipo chini kwahiyo ikiisha chaji hauwezi kutumia. Kha.View attachment 3000650

Mi labda sina hela, ila kununua bidhaa ya Apple naona kabisa napigwa. Ata iPhone najua ina nguvu ina balaa ila kama wanakuibia kwenye bidhaa zingine kwann wasikuibie kwenye iPhone.

Nimejiandaa kuambiwa nitafute hela.
Watumie wenyewe.
 
Kampuni la Kimarekani Apple, maarufu kwa kuuza bidhaa za electronics na accessories zake, wanauza ivyo vitu bei ghali sana.

Inawezekana ikawa ni value for money, ila kuna baadhi ya vitu ni wazi wanawaibia "loyal customers" wake, sema ndio ivyo hawaoni au wanajizima data.

Tuachane na iPhone zao kua Million 3 kwenda juu, au Laptop zao za kishua. Ebu Kwa mfano checki izi products:

Mac Pro wheels $700 (Tsh Mil 1.8)

Hii sio computer, ni magurudumu manne ya kuweka kwenye CPU sijui tuiite ya Mac Pro. Hujakosea kusoma.

View attachment 3000624Haya matairi ilibidi wayagawe bure unavyonunua iyo bidhaa yao.

Mac Pro stand $1000 (Tsh Mil 2.6)

Naam. Mil 2.6 tunanunua stendi ya kuiwekea Monitor yetu ya Mac.
View attachment 3000625Hii pia ilitakiwa upewe bure. Kwann walitengeneza computer isio na stendi?

Mikanda ya saa $100 (Tsh Laki 2.6)

Achana na bei ya saa, mkanda tu huu unauzwa laki 2 na nusu na zaidi.
View attachment 3000608

Airpods Max $550 (Tsh Mil 1.4)
Utakua ushakutana na mabishoo wamevaa copy ya aya madude.
View attachment 3000627
Aisee original yake ndio ivo, Mil 1.4 cash.

Apple Pencil $130 (Tsh 340,000/=)
Hii wenzio Samsung ukinunua Tab wanakupa bure sijui kwann wao wanauza.
View attachment 3000606

Mac Pro $7000 (Tsh Mil 18)
Ukiliona kwenye picha kama kidude cha kusugulia nyanya au karoti. Ila ndio ivyo tena, bei ya gari.
View attachment 3000631


Waya type C $30 (Tsh 77,000/=)
Waya tu, wa mita 2 unauzwa hivi. Bila kichwa. Bila protector. Bila kava. Waya.
View attachment 3000614

Cover la Simu la Silicon $50 (Tsh 130,000/=)
Haya makava tunayaona kwa elfu 5 yanauzwa Kariakoo. Wao wanauza bei ya simu.

View attachment 3000609

Mac Pro Display $1500 na Stendi yake inafika hadi $2000 (Tsh Mil 3.9 hadi Mil 5.1)

Hii ni display ya kile kidude cha kusugulia nyanya. Display tu.
View attachment 3000612


Airpods Pro $250 (Tsh 650,000)
Sijawahi tumia kwahiyo sijui mziki wake ila kutoa Laki 6 kisa utu tudude hapana.
View attachment 3000621

Polishing Cloth $20 (Tsh 52,000)
Kitambaa cha kusafishia kioo cha simu au laptop au ipad kinauzwa bei ivo.
View attachment 3000638

Apple Mouse $100 (Tsh 250,000)
Hii ni mouse kama unayoijua sema ya kuchaji.View attachment 3000648Hafu port ya kuchajia ipo chini kwahiyo ikiisha chaji hauwezi kutumia. Kha.View attachment 3000650

Mi labda sina hela, ila kununua bidhaa ya Apple naona kabisa napigwa. Ata iPhone najua ina nguvu ina balaa ila kama wanakuibia kwenye bidhaa zingine kwann wasikuibie kwenye iPhone.

Nimejiandaa kuambiwa nitafute hela.
Mimi kwa uelewa wangu, aliyeanzisha Apple lengo lake ni kuuza premium brands. Yaani auze vitu vyake bei juu kwa "niche" maalum ya wanaotaka vitu vya bei juu bila kujali bei na satisfaction ni sawa na anayetumia bidhaa zingine.
Ni kama kwenda kupata huduma hoteli kama The Kilimanjaro Kempinski pale. Huduma ni zile zile, kula, kulala ila bei mkasi sana.

Hilo sio tatizo, tatizo wabongo ni malimbukeni. Tunaona kutumia kitu cha Apple ndio sifa, ndio unaonekana mtu wa maana huku unapata tabu ya comfortability ya kutumia. Kutumia apple ni mateso kibongo bongo ambapo hakuna umeme wa uhakika, mitandao haina data za uhakika, ni mateso....
 
Kampuni la Kimarekani Apple, maarufu kwa kuuza bidhaa za electronics na accessories zake, wanauza ivyo vitu bei ghali sana.

Inawezekana ikawa ni value for money, ila kuna baadhi ya vitu ni wazi wanawaibia "loyal customers" wake, sema ndio ivyo hawaoni au wanajizima data.

Tuachane na iPhone zao kua Million 3 kwenda juu, au Laptop zao za kishua. Ebu Kwa mfano checki izi products:

Mac Pro wheels $700 (Tsh Mil 1.8)

Hii sio computer, ni magurudumu manne ya kuweka kwenye CPU sijui tuiite ya Mac Pro. Hujakosea kusoma.

View attachment 3000624Haya matairi ilibidi wayagawe bure unavyonunua iyo bidhaa yao.

Mac Pro stand $1000 (Tsh Mil 2.6)

Naam. Mil 2.6 tunanunua stendi ya kuiwekea Monitor yetu ya Mac.
View attachment 3000625Hii pia ilitakiwa upewe bure. Kwann walitengeneza computer isio na stendi?

Mikanda ya saa $100 (Tsh Laki 2.6)

Achana na bei ya saa, mkanda tu huu unauzwa laki 2 na nusu na zaidi.
View attachment 3000608

Airpods Max $550 (Tsh Mil 1.4)
Utakua ushakutana na mabishoo wamevaa copy ya aya madude.
View attachment 3000627
Aisee original yake ndio ivo, Mil 1.4 cash.

Apple Pencil $130 (Tsh 340,000/=)
Hii wenzio Samsung ukinunua Tab wanakupa bure sijui kwann wao wanauza.
View attachment 3000606

Mac Pro $7000 (Tsh Mil 18)
Ukiliona kwenye picha kama kidude cha kusugulia nyanya au karoti. Ila ndio ivyo tena, bei ya gari.
View attachment 3000631


Waya type C $30 (Tsh 77,000/=)
Waya tu, wa mita 2 unauzwa hivi. Bila kichwa. Bila protector. Bila kava. Waya.
View attachment 3000614

Cover la Simu la Silicon $50 (Tsh 130,000/=)
Haya makava tunayaona kwa elfu 5 yanauzwa Kariakoo. Wao wanauza bei ya simu.

View attachment 3000609

Mac Pro Display $1500 na Stendi yake inafika hadi $2000 (Tsh Mil 3.9 hadi Mil 5.1)

Hii ni display ya kile kidude cha kusugulia nyanya. Display tu.
View attachment 3000612


Airpods Pro $250 (Tsh 650,000)
Sijawahi tumia kwahiyo sijui mziki wake ila kutoa Laki 6 kisa utu tudude hapana.
View attachment 3000621

Polishing Cloth $20 (Tsh 52,000)
Kitambaa cha kusafishia kioo cha simu au laptop au ipad kinauzwa bei ivo.
View attachment 3000638

Apple Mouse $100 (Tsh 250,000)
Hii ni mouse kama unayoijua sema ya kuchaji.View attachment 3000648Hafu port ya kuchajia ipo chini kwahiyo ikiisha chaji hauwezi kutumia. Kha.View attachment 3000650

Mi labda sina hela, ila kununua bidhaa ya Apple naona kabisa napigwa. Ata iPhone najua ina nguvu ina balaa ila kama wanakuibia kwenye bidhaa zingine kwann wasikuibie kwenye iPhone.

Nimejiandaa kuambiwa nitafute hela.
Mkuu mimi nadhani haya madude yote uliyotaja utayahitaji kama spare parts ila sio kama component ya bidhaa uliyonunua. Kama sivyo, basi hawa jamaa wa Apple ni wapigaji wakubwa.
 
Mimi kwa uelewa wangu, aliyeanzisha Apple lengo lake ni kuuza premium brands. Yaani auze vitu vyake bei juu kwa "niche" maalum ya wanaotaka vitu vya bei juu bila kujali bei na satisfaction ni sawa na anayetumia bidhaa zingine.
Ni kama kwenda kupata huduma hoteli kama The Kilimanjaro Kempinski pale. Huduma ni zile zile, kula, kulala ila bei mkasi sana.

Hilo sio tatizo, tatizo wabongo ni malimbukeni. Tunaona kutumia kitu cha Apple ndio sifa, ndio unaonekana mtu wa maana huku unapata tabu ya comfortability ya kutumia. Kutumia apple ni mateso kibongo bongo ambapo hakuna umeme wa uhakika, mitandao haina data za uhakika, ni mateso.
M.kuu umeongea ukweli tupu. Ulimbukeni nao ni tatizo. Unakuta mtu anaenda Kempsik kununua soda kwa Tsh 10,000 wakati soda hiyo hiyo anaweza kuipata dukani kwa Mangi kwa Tsh 500 tu!

Kuna wakati unakuta mtu ananunua, kwa mfano, viatu vya bei mbaya lakini ukiangalia maviatu yenyewe hayatofautiani na yale wanayovaa wadudu wa Arusha....yaani hayana shape hata kidogo. Lakini kisa tu kayanunua kwa bei mbaya basi anapita nayo mitaani huku akijiona mjanja. Hii ndio shida ya wabongo.....ulimbukeni.
 
Mimi kwa uelewa wangu, aliyeanzisha Apple lengo lake ni kuuza premium brands. Yaani auze vitu vyake bei juu kwa "niche" maalum ya wanaotaka vitu vya bei juu bila kujali bei na satisfaction ni sawa na anayetumia bidhaa zingine.
Ni kama kwenda kupata huduma hoteli kama The Kilimanjaro Kempinski pale. Huduma ni zile zile, kula, kulala ila bei mkasi sana.

Hilo sio tatizo, tatizo wabongo ni malimbukeni. Tunaona kutumia kitu cha Apple ndio sifa, ndio unaonekana mtu wa maana huku unapata tabu ya comfortability ya kutumia. Kutumia apple ni mateso kibongo bongo ambapo hakuna umeme wa uhakika, mitandao haina data za uhakika, ni mateso....
Hata wewe nitakukatalia mkuu.
Jobs au Apple kwa ujumla wakati wanatoa bidhaa wanasema jambo la kwanza lilikuwa kumpa mtu kilicho bora sio chochote kitu.
Lazima ukifanye kitu kiwe bora kimwonekano halafu kiutendaji pia,ndipo utaweza kuchukua hela ya mtu kirahisi.

Kwa nchi kama marekani bidhaa za apple wala si katika kundi la bidhaa luxury kabisa,ni bidhaa za msingi tu ila zenye ubora wa haki,saa zao ni smart lakini hata wakimbiaji hawazifanyi kama kipaumbele ktk manunuzi.

Kimsingi uchumi wetu wa daraja la 3,unatupelekesha sana,mpaka mwenye gari bongo ni mzozo,wakati wenzentu gari ni kama kuwa na feni kwa ajili ya joto.
 
Hata wewe nitakukatalia mkuu.
Jobs au Apple kwa ujumla wakati wanatoa bidhaa wanasema jambo la kwanza lilikuwa kumpa mtu kilicho bora sio chochote kitu.
Lazima ukifanye kitu kiwe bora kimwonekano halafu kiutendaji pia,ndipo utaweza kuchukua hela ya mtu kirahisi.

Kwa nchi kama marekani bidhaa za apple wala si katika kundi la bidhaa luxury kabisa,ni bidhaa za msingi tu ila zenye ubora wa haki,saa zao ni smart lakini hata wakimbiaji hawazifanyi kama kipaumbele ktk manunuzi.

Kimsingi uchumi wetu wa daraja la 3,unatupelekesha sana,mpaka mwenye gari bongo ni mzozo,wakati wenzentu gari ni kama kuwa na feni kwa ajili ya joto.
Sijui kama umenielewa kwenye paragraph yangu ya mwisho. Apple haikuundwa kwa ajili ya soko la Africa, soko la dunia ya 3, soko la makapuku. Marekani Apple ni kitu cha kawaida, ila kibongo bongo ni mateso. Iphone huwezi kusikiliza radio bila kuwa na data.....haya niambie unataka kusikiliza radioa masaa 2 utatumia mbs ngapi? Mara ka notification ka voda umetumia 75% ya kifurushi chako.
 
Ukimuuliza kwanini unanunua iPhone ya mamilioni wkt Hali yako Ni dhoofu bin Khali utamsikia oooh iPhone Ina security Kali Sana,vitu vyangu viko salama Sana.

Yaani we jamaa wa huko ikungi Nani ana shida ya kuku-hack wkt vitu vyenyewe ulivyojaza kwny simu yako Ni porno tu za xvideos,xhamster.
Upuuzi tu, eti security......una nini wewe cha kuficha namna hiyo?
Unamuuliza wewe ni PEP? Hapana.....hauna cha maana unachoficha.
 
😂 😂 😂
Sister unachekesha sana, mimi hadi sasa nimewanunulia watu wawili iPhone, moja ilikuwa iphone11 Pro max, the other one ilikuwa iphone 12 plain, ningekuwa natamani iphone ningekuwa nayo.

Tatizo ideology yenu ni kwamba, kila mnapomwona android user mnadhani anatamani kuwa na iphone sema kashindwa kununua, which is very wrong😂

Mfano mi namiliki Note 20 Ultra, niliichukua ilipokuwa imetoka yaan ndo kwanza ya moto, bei yake nisingepata iphone nzuri??
mimi sijasema watu wote wanataka iphone, lakini ni huyo anaepiga kelele kuhusu wanaotumia iphone wanapgiwa bei mbaya. Kila mtu ana uhuru wa kupenda apendacho na ndiyo maana kunakuwa na versions nyingi za kitu kimoja.
 
Sijui kama umenielewa kwenye paragraph yangu ya mwisho. Apple haikuundwa kwa ajili ya soko la Africa, soko la dunia ya 3, soko la makapuku. Marekani Apple ni kitu cha kawaida, ila kibongo bongo ni mateso. Iphone huwezi kusikiliza radio bila kuwa na data.....haya niambie unataka kusikiliza radioa masaa 2 utatumia mbs ngapi? Mara ka notification ka voda umetumia 75% ya kifurushi chako.
Ni kweli kabisa,huwezi zingatia watu ambao bei ya bidhaa yako ni pato la mtu mmoja kwa mwaka mzima,ndio maana walionunua iphone kwao ni kama wamefanikiwa .

Tena bado tunapewa feva nyingi tu,maisha ya kibepari sisi bado tunayaishi nusu,wakisema wasimamie kucha kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake,itakuwa balaa.
 
Back
Top Bottom