Mifano ni mingiunawezaje kumsemea binadamu mwingine kua atashindwa jambo fulani, huyo aliyeshindwa ni UZEMBE WAKE sababu alipewa maelekezo, na kwa mwanaume kupewa malekezo na ukashindwa basi wewe sio mwanaume kamili
.. inashangaza!
...sasa ilibidi nikushangae wewe ambaye unaumizwa na maamuzi yangu ya kupinga ngende na kunipangia nitembee kwenye njia yangu don't you think that wewe ndo uliyetakiwa kupiga moyo konde na utembee njia yako uliyochagua....huoni unavyojipinga mwenyewe sasa...you dont have anything to add, ni jambo la kushangaza sana kama unaumizwa na maamuzi ya watu wengine, wewe ya kwako pengine yanakushinda huko nyumbani kwako unakuja kuwapangia watu maisha, embu piga moyo konde ufanye maisha yako na utembee kwenye njia yako peke yako uliyoichagua.
anaumia na maisha ya wengine huyu anaweza kujiua hata sababu ya maisha ya watu wengine mana sio kwa kuumia huku.mkuu wewe jinsia gani? mbona maneno makali hivi!
nilidhani wewe mwanaume!
[emoji38][emoji38][emoji38]acha bangi mkuuMwenye kunihakikishia kafara inatajirisha anijuze, vitega uchumi vyote ninavyo, dingi yupo, matha yupo, mke na watoto hata kumi wapo.... Yaani nimesheheni
Patheticwho are you again?? I always know what I'm doing so shut the hell up and don't tell me what to do......it works and not work... you got me braidead??.....
siumii bali unaishangaza jamii ,,,kama mwanaume kua na tabia za kike, unakuja kuibuka tu kwenye nyuzi za watu ukiwa na kisirani kama mwanamke ambaye ana mimba changa, una hasira, yani anayechukua maamuzi ni mtu mwingine, wewe unakurupuka kuongea shiti kana kwamba unamlazimisha na kumpangia maisha afanye unachotaka wewe...huoni kama unachanganyikiwa ...piga moyo konde embu pambana na ya nyumbani kwako na maisha yako, halafu inaonekana wewe kijana mdogo huyajui maisha mana sio kwa kisirani hiki. pole sana sitakujibu tena utatafuta wa kupeana mipasho naye....sasa ilibidi nikushangae wewe ambaye unaumizwa na maamuzi yangu ya kupinga ngende na kunipangia nitembee kwenye njia yangu don't you think that wewe ndo uliyetakiwa kupiga moyo konde na utembee njia yako uliyochagua....huoni unavyojipinga mwenyewe sasa...
Basi apo unajiona uko British council mwenyewe🤣🤣🤣...Is this your thesis? or you're just mad at me?... I'm pretty sure you're mad at me...
Nafsi ipi yenye thamani wakati kila kukicha afadhari ya jana?Hakuna cha bure kwa shetani, hapo umeshafanya transaction kati ya nafsi yako yenye thamani zaidi ya lulu na huo unaoita utajiri. Pole Sana.
Kuna siri nyingi duniani, unaweza kuta wewe unaamini bill gate ni freemason, lakini kwa ngende unaleta unafiki....what the hell is this??...kwahiyo unataka kuniambia kwamba billgate jeff bezos hadi elon musk nao walipitia huko kwa ngende sijui.....au bakhressa mo dewj wote walipitia huko kwa waganga???.....kichwa kilipaswa kiwe: kwa wapenda shortcut wote wajinga na wavivu ambao wanachukia umasikini ngende ndo kimbilio..... wake up Africans that's not how things works...
....I don't give a damn prostitute...Pathetic
Soko lake lipo Kisumu Kenya mkuuulimuuzia nani?soko lake ni wapi?
NdioHivi uko serious mzee?
Soko lake lipo Kisumu Kenya mkuu
Siku ukiyapata utajua wanayatumiajehao wa kisumu wanayatumiaje?
hey hey hey slowly hotdog... let me be honest nimekutana na wajinga wengi lakini wewe unadeserve tuzo za UJINGA..siumii bali unaishangaza jamii ,,,kama mwanaume kua na tabia za kike, unakuja kuibuka tu kwenye nyuzi za watu ukiwa na kisirani kama mwanamke ambaye ana mimba changa, una hasira, yani anayechukua maamuzi ni mtu mwingine, wewe unakurupuka kuongea shiti kana kwamba unamlazimisha na kumpangia maisha afanye unachotaka wewe...huoni kama unachanganyikiwa ...piga moyo konde embu pambana na ya nyumbani kwako na maisha yako, halafu inaonekana wewe kijana mdogo huyajui maisha mana sio kwa kisirani hiki. pole sana sitakujibu tena utatafuta wa kupeana mipasho naye.
what's Freemason??..do you even understand or know the definition of freemason???...Kuna siri nyingi duniani, unaweza kuta wewe unaamini bill gate ni freemason, lakini kwa ngende unaleta unafiki
Haaahaaaaa uwiiiMkuu maanisha basi nisije kuharibu nauli yangu bure