Mnaouchukia ufukara na umaskini NGENDE ndilo jawabu lenu la mwisho

Status
Not open for further replies.
Wewe kaloge tu hta ikiwezekana kaoge njia panda mkuu Sisi ni kazi na sala tu.
 
Kama unataka utajiri fanya kutafuta mayai ya Bundi mawili tu. Ukiyapata rusha wembe ule wembe ukivutwa Kama sumaku nifate nikupe pesa


NB: yai moja linauzwa Kenyan Shillings 20 millions. Kazi kwako
Isipovutwa
 
Ngende si nzuri jamani..ukikosea sharti kidogo unarudi kwenye zerooo tena zerooo si ya kitoto.

Omba Mungu na upambane huo ndiyo ujanja.
Toa connection masikio yetu hayapo kwaajili ya kupokea maonyo. Nije pm?
 
Matangazo ya biashara hua yanalipiwa,pamoja na kwamba biashara yako hii ni ya kipuuzi lakini umelipa?
 
I thought you were a guy, anyway you have everyright to write/say anything.
ana stress achana naye, anatafuta mahali pa kuzi dump!
halafu ni mtoto mdogo sana huyo, mtu hajui hata kuweka memory card kwenye laptop. u
 
Kuna siri nyingi duniani, unaweza kuta wewe unaamini bill gate ni freemason, lakini kwa ngende unaleta unafiki
UNAFIKI kwa ngozi nyeusi umetukuka sana.
Unaweza kumkuta anarudi kwao December kwenda kufanya mila(kutambika) na kanisani kwake ni kiongozi wa vijana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…