Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binafsi nafikili kumuingilia mwanamke kinyume cha Maumbile ni ushoga vile vile kama ilivyo otherwise, lkn Wanawake wenyewe wanasemaje ? Why wako kimya , Kazi yao kubwa ni Kuwa machawa na Kwenda Kumpongeza bi Tozo tu, hili la Kumenywa takoni hawalipigii kelele kabisa
Tatizo watanzania kwanza hatujafundishwa kuvumilia mawazo ya wengine, lakini pia huwa hatuwezi kupinga hoja bila ya kuonesha kuna kupambana. Hoja hapa ni rahisi. Unapinga ushoga, hiyo ni sawa. Lakini jee unapinga pia wanawake kuingiliwa kinyume cha maumbile??Wewe Ni wale wale TU
Vita ya ushoga inahusu ushenzi wowote unaohusiana kuingiliana kinyume cha maumbile, sema wewe umekalili upande mmoja.Kwa ivo mwanaume kwa mwanamke ni sawa tu!! Yaani ni sawa kwa mwanaume kumuingilia kinyume cha maumbile mwanamke!!??
Ndiyo tunakataa tendo. Jamii haina uwezo wa kupata ushahidi wa kimazingira ili kuweza kupinga uhalifu wa kuingiliwa kinyume na maumbile kati ya me na ke iwapo ke atakaa kimya. Lakini kati ya me na me inajulikana waziwazi kabisa kwamba mmojawapo kafanyiwa upuuzi. Nadhani ndio maana hatusikii kelele kati ya me na ke kama tunavyozisikia kati ya me na me.Nimeunganisha ili nijenge hoja yangu. Maana kwangu mimi naangalia tendo na siyo Jinsia. kwangu naona tendo ni moja ila moja ni kati ya mwanamke na mwanaume na jingine ni kati ya mwanaume kwa mwanaume. Tulikatae tendo siyo jinsia!!
Nina kg 200 shoga angu,Niteseke kisa msagaji Bonge?
Una kilo ngapi siku hizi mkuu?
🤣🤣🤣Nina kg 200 shoga angu,
Vipi dada, unataka ubonge na wewe?
Sheria za nchi yetu haziruhusu jinsia yoyote kuingiliwa. Na nakupongeza kwa hoja yako.Kama watu hawataacha kuingilia kinyume wanawake basi hatutatibu tatizo asilani kwani jinsia zote zina makalio.Sasa leo unamtumia mwanamke.Kesho hayupo ila kuna mwanaume hapa na ana kalio.Unaona shida hiyo. ..Nimeamua kuandika mada hii kutokana na utafiti wangu mdogo niliofanya kupitia hapa JF na mahala kwingine. Na bandiko hili linasimama kuitaka jamii yetu ya watanzania isimame kwenye kile inachoamini kwa kujenga juu ya kweli na siyo hisia.
Suala la Ushoga hapa JF na Tanzania linatumika kisiasa zaidi na pia katika mlengo wa vita dhidi ya Marekani na Ulaya. Kisiasa suala hili linahusishwa kiuongo uongo na CHADEMA. Na kwa Marekani inatengenezwa picha kwamba Marekani pekee ndiko kuna mashoga na Marekani wanataka kulazimisha dunia nzima wawe mashoga.
Lakini mada hii inahusu zaidi mitizamo ya watanzania kuhusu kitendo chenyewe cha kishoga. Watu wengi wanachukia sana mashoga na ushoga, lakini watu hao hao huoni wala kusikia wakitumia nguvu kubwa kusema hadharani kwamba kitendo cha kumuingilia kinyume cha maumbile mwanamke ni makosa.
Kama ushoga ni jambo baya ni kwa nini basi hatuoni harakati pia za kupiga vita wanaume kuwaingilia kinyume cha maumbile wanawake? Jee wanawake wao ni sawa tu kufanya ngono kwa mtindo huu ila tatizo ni kwa wanaume kwa wanaume? Maana kwenye mada hata humu JF utaona kuna mashabiki wengi sana wa tabia hiyo dhidi ya wanawake na hakuna mtu anayesema watu hao ni CHADEMA au ni CCM!!
Sera yetu kuhusu mwanamke kuingiliwa kinyume cha maumbile ikoje? Nimeona watu wanasema akija Haris Kamala Makamu Rais wa Marekani, aambiwe kwamba hatutaki ushoga. Jee ataambiwa pia kwamba hatutaki wanawake kuingiliwa kinyume cha maumbile?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]Kasome sheria inasemaje
Nimeamua kuandika mada hii kutokana na utafiti wangu mdogo niliofanya kupitia hapa JF na mahala kwingine. Na bandiko hili linasimama kuitaka jamii yetu ya watanzania isimame kwenye kile inachoamini kwa kujenga juu ya kweli na siyo hisia.
Suala la Ushoga hapa JF na Tanzania linatumika kisiasa zaidi na pia katika mlengo wa vita dhidi ya Marekani na Ulaya. Kisiasa suala hili linahusishwa kiuongo uongo na CHADEMA. Na kwa Marekani inatengenezwa picha kwamba Marekani pekee ndiko kuna mashoga na Marekani wanataka kulazimisha dunia nzima wawe mashoga.
Lakini mada hii inahusu zaidi mitizamo ya watanzania kuhusu kitendo chenyewe cha kishoga. Watu wengi wanachukia sana mashoga na ushoga, lakini watu hao hao huoni wala kusikia wakitumia nguvu kubwa kusema hadharani kwamba kitendo cha kumuingilia kinyume cha maumbile mwanamke ni makosa.
Kama ushoga ni jambo baya ni kwa nini basi hatuoni harakati pia za kupiga vita wanaume kuwaingilia kinyume cha maumbile wanawake? Jee wanawake wao ni sawa tu kufanya ngono kwa mtindo huu ila tatizo ni kwa wanaume kwa wanaume? Maana kwenye mada hata humu JF utaona kuna mashabiki wengi sana wa tabia hiyo dhidi ya wanawake na hakuna mtu anayesema watu hao ni CHADEMA au ni CCM!!
Sera yetu kuhusu mwanamke kuingiliwa kinyume cha maumbile ikoje? Nimeona watu wanasema akija Haris Kamala Makamu Rais wa Marekani, aambiwe kwamba hatutaki ushoga. Jee ataambiwa pia kwamba hatutaki wanawake kuingiliwa kinyume cha maumbile?
Usipo kula mwana mla ndo upumbafu wako unapo anzia hizo ndi misemo ya mjiniiiiii.... Huku chuga tuna sikia tuKuna mafala mengine yenye familia kabisa utayakuta yanahalalisha huo UPUMBAVU vijiweni eti "siku hizi tigo ni habari za mjini, ukimla Ke bila ya kula jicho lake anakudharau kabisa"
Nilichefukwa nikayatukana vizuri sana kuwa si kila Me anayejitambua ni Mpumbavu sawa na wao hadi walibadili mada....hiki kizazi kilipofikia pthuuu...[emoji2961]
Wenye hoja hii wote ni mbuni mliozika kichwa chini ya mchanga.Kuna ukweli hamtaki kuusikia na hivyo mmebatilika mwanzo mwishoNafikiri ni vizuri kuelewa muktadha wa hii issue. Mapenzi kwa watu wa jinsi moja mwanaume kwa mwanaume au mwanamke kwa mwanamke ndiyo hoja. Mwanamke na mwanaume wakishajifungia sehemu kinachofanyika na namna kinavyofanyika ni juu yao na makubaliano yao.
Kwan hata hao wanaume mashoga si wanataka wenyewe?..Tatizo wanawake wenyewe siku hizi yaani wazichomoa huku wanazielekezea kule na kuziingiza wenyewe sijui shida ninini
Kuna mahali nimesema hivi?? Soma vizuri uelewe!!Nani kakwambia mwanamke akiingiliwa na mwanaume kinyume na maumbile ni ushoga?
Ndiyo wote Wana laanaMfiraji,Mlawiti wote kitu 1
Wakiongozwa na Mzee wa kupambania
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hata kama, lakini kasema ukweli.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Why wako kimya , Kazi yao kubwa ni Kuwa machawa na Kwenda Kumpongeza bi Tozo tu, hili la Kumenywa takoni hawalipigii kelele kabisa
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji3578][emoji3578][emoji3578]Nina kg 200 shoga angu,
Vipi dada, unataka ubonge na wewe?
Thanks love ❤Mstaarabu sana,
I send my hugs to you 🤗