Mnaoupinga Ushoga mbona kwa wanawake mko kimya?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Wewe Ni wale wale TU
Tatizo watanzania kwanza hatujafundishwa kuvumilia mawazo ya wengine, lakini pia huwa hatuwezi kupinga hoja bila ya kuonesha kuna kupambana. Hoja hapa ni rahisi. Unapinga ushoga, hiyo ni sawa. Lakini jee unapinga pia wanawake kuingiliwa kinyume cha maumbile??

HIyo ndiyo hoja. Mabandiko kuhusu ushoga yapo mengi tu humu JF. Kama unataka kujadili ushoga yatafute hayo mabandiko uweke maoni yako huko.
 
Mm namtizamo tofauti .Tunachopinga ni wao kutaka kutambuliwa sio wao wakiamua kularuana kwa siri .hatutaki watambulike kisheria kama wasivotaka kutambulika wavuta bangi na wanaoingilia kinyume na maumbile wanawake .hatutaki washawishi watoto wala kufundisha watoto kuwa wanaweza kufanya maamuzi ya jinsia .jinsia ni mbili tu ke na me .makosa ya kingono baina ya ke na me mfana kula ndogo wahusika hata wao huwa wanakataa kujihusisha .Mfano mm huwa navuta bangi kamwe sitaki kuwe na sheria ya kunitambua na sina haki yoyote nikikamatwa nifungwe pia siwez kaa nisapport watoto wafundishwe bangi na nikiulizwa ntas3ma sivuti na ntawaambia watoto bangi ni dhambi
 
Nimeunganisha ili nijenge hoja yangu. Maana kwangu mimi naangalia tendo na siyo Jinsia. kwangu naona tendo ni moja ila moja ni kati ya mwanamke na mwanaume na jingine ni kati ya mwanaume kwa mwanaume. Tulikatae tendo siyo jinsia!!
Ndiyo tunakataa tendo. Jamii haina uwezo wa kupata ushahidi wa kimazingira ili kuweza kupinga uhalifu wa kuingiliwa kinyume na maumbile kati ya me na ke iwapo ke atakaa kimya. Lakini kati ya me na me inajulikana waziwazi kabisa kwamba mmojawapo kafanyiwa upuuzi. Nadhani ndio maana hatusikii kelele kati ya me na ke kama tunavyozisikia kati ya me na me.
 
Sheria za nchi yetu haziruhusu jinsia yoyote kuingiliwa. Na nakupongeza kwa hoja yako.Kama watu hawataacha kuingilia kinyume wanawake basi hatutatibu tatizo asilani kwani jinsia zote zina makalio.Sasa leo unamtumia mwanamke.Kesho hayupo ila kuna mwanaume hapa na ana kalio.Unaona shida hiyo. ..
 

Alafu ww ushaanza kuvuruga maana ya ushoga, alafu ukinywa pombe usiingie JF plz.

Nani kakwambia mwanamke akiingiliwa na mwanaume kinyume na maumbile ni ushoga? Acha ushamba wee, ushoga ni kufanya mapenzi kwa watu wa jinsia moja, yaani mwanaume kwa mwanaume au mwanamke kwa mwanamke..

Kama hujui vitu vizuri uliza, sio umelewa mbege unaingia JF, unaanza wanawake kuingiliwa uani eti ni ushoga, kumbe hujui maana halisi ya ushoga, unataka kuharibu sunnah yetu ww.
 
Shimo la kuingia ni moja tu yani K tena ya mwanamke,tofauti na hapo ni kosa.

Anaekula jicho la mdada,ipo siku atakula la mwanaume mwenzake na mwisho wa siku nae ataliwa kimasihara
 
Usipo kula mwana mla ndo upumbafu wako unapo anzia hizo ndi misemo ya mjiniiiiii.... Huku chuga tuna sikia tu
 
Wenye hoja hii wote ni mbuni mliozika kichwa chini ya mchanga.Kuna ukweli hamtaki kuusikia na hivyo mmebatilika mwanzo mwisho
 
Tatizo wanawake wenyewe siku hizi yaani wazichomoa huku wanazielekezea kule na kuziingiza wenyewe sijui shida ninini
Kwan hata hao wanaume mashoga si wanataka wenyewe?..
Mbona mnapinga wanaume kutaka ila hampingi wanawake kutaka huko!

Anayemgeuza mwanamke haachi kumgeuza mwanaune!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…