Mnaoupinga Ushoga mbona kwa wanawake mko kimya?

Mnaoupinga Ushoga mbona kwa wanawake mko kimya?

Tatizo watanzania kwanza hatujafundishwa kuvumilia mawazo ya wengine, lakini pia huwa hatuwezi kupinga hoja bila ya kuonesha kuna kupambana. Hoja hapa ni rahisi. Unapinga ushoga, hiyo ni sawa. Lakini jee unapinga pia wanawake kuingiliwa kinyume cha maumbile??

HIyo ndiyo hoja. Mabandiko kuhusu ushoga yapo mengi tu humu JF. Kama unataka kujadili ushoga yatafute hayo mabandiko uweke maoni yako huko.
Hovyo kabisa
 
mapenzi ya jinsia moja, ndio vita inayopiganwa, tusichanganye hizi mambo.

dume vs dume, jike vs jike.
Mwenye masikio na asikie
JamiiForums100616734.jpg


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Alieweka binadam sex kuwa for reproduction and pleasure nadhani ndo kapelekea haya yote. Sex ikishakuwa for pleasure naonaga pleasure haitambui mipaka ni kufanya chochote na kuendelea kuvumbua vyanzo vipya vya pleasure.
Screenshot_20210907-231005~2_1.jpg
 
Back
Top Bottom