Hoja yangu ni kwamba nina wasiwasi kuwa wewe ni shoga. Hii inatokana na jinsi unavyobishana na wana JF. Hii ndio hoja yangu. Karibu uchangiye!Jenga hoja wewe achana na maneno ya maji taka!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja yangu ni kwamba nina wasiwasi kuwa wewe ni shoga. Hii inatokana na jinsi unavyobishana na wana JF. Hii ndio hoja yangu. Karibu uchangiye!Jenga hoja wewe achana na maneno ya maji taka!!
📌Hoja yangu ni kwamba nina wasiwasi kuwa wewe ni shoga. Hii inatokana na jinsi unavyobishana na wana JF. Hii ndio hoja yangu. Karibu uchangiye!
Nothing interesting dearIlikuajee Dear Co??
Ulikutana na wangapi waliofanya hivyo?Tatizo wanawake wenyewe siku hizi yaani wazichomoa huku wanazielekezea kule na kuziingiza wenyewe sijui shida ninini
Swali muhimu sana hili.Kwa ivo tatizo ni aina ya tendo ama jinsia kufanana!!??
Nimeamua kuandika mada hii kutokana na utafiti wangu mdogo niliofanya kupitia hapa JF na mahala kwingine. Na bandiko hili linasimama kuitaka jamii yetu ya watanzania isimame kwenye kile inachoamini kwa kujenga juu ya kweli na siyo hisia...
Umeifurahisha nafsi yako!!?? Yaani kumwita mtu shoga unaona kama vile ni jambo la sifa sana!!??Hoja yangu ni kwamba nina wasiwasi kuwa wewe ni shoga. Hii inatokana na jinsi unavyobishana na wana JF. Hii ndio hoja yangu. Karibu uchangiye!
Vipi Wewe umewahi kumgeuza mkeo?Mbona miziki yetu inahamasisha, Kuna vigodoro, n.k. in fact imeonekana ni suala la kawaida kabisa. Ila sijaona likipingwa kwa nguvu kama alivyosema mtoa mada.
Naona kama Kuna unafiki mahali tunafanya kama taifa. Takwimu tu za Mewata zinasema 1/3 ya wanawake wanageuzwa na waume zao. Sasa is it any better than tunachopinga??
Jibu hoja mkuu ndiyo tuendelee mbona rahisi tu!!Umeifurahisha nafsi yako!!?? Yaani kumwita mtu shoga unaona kama vile ni jambo la sifa sana!!??
Kwani ushoga ni nini?Kwenye hii mada nimeshangaa sana. Watu badala ya kujibu swalil ni kwa nini kwa wanawake tuko kimya. Wanang'ang'ana na ushoga tu!! Kwa nini swali halijibiwi!!??
Hapo kuna hoja gani unadhani!!Jibu hoja mkuu ndiyo tuendelee mbona rahisi tu!!
Mahusiano ya jinsia moja kwa wanaume kwa wanaume!! Kwa wanawake ni wasagaji.Kwani ushoga ni nini?
Nimekuuliza ushoga ni nini?Mahusiano ya jinsia moja!! Kwa wanawake ni wasagaji.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwamba kumenywa takoni?