Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

hayo mambo ya mjini mmalizane tu huko huko kimjinimjini,
huku mikoani sie tunagonga mzigo ukimaliza unageuka kushoto nae kulia kila moja anauchapa usingizi vilivyo kivyake mpaka tena mbususu na mshedede vitakapo rise up na mara moja raund ingine huanza na nyingine hufuata kadiri itakavyoonekana inafaa...
 
natamani nikuelewe zaidi ya hapa. Kwamba kitanda unachoanza nacho maisha kinaamua baadaye mtalalaje na mpenzi wako?
 
Kiukweli hata kuhema inakuwa taabu.
 
natamani nikuelewe zaidi ya hapa. Kwamba kitanda unachoanza nacho maisha kinaamua baadaye mtalalaje na mpenzi wako?
Ndo maana yake. Akikukuta na 6*6 utajinasuaje? Kwamba hatulali wote? Huo moto utauwasha lakini kuuota hutoweza.

We kama unajua utachumachuma kimasihara kwako,weka vitanda viwili. Af punguza kucheka cheka. Akisema tulale,analala huko na wewe na mambo yako kule. Full stop
 
πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”
Natamani kuishi maisha kama ya watu wa humu lakini naona ni magumu mnooo😫😫😫😫
 
kwa hiyo kwa kuanzia mtu anastahili aanze na kitanda kidogo sio?
 
kwa hiyo kwa kuanzia mtu anastahili aanze na kitanda kidogo sio?
Jibu ni ndio au hapana. Inategemea na wewe mwenyewe. Kama kugandana unaweza,nunua kikubwa. Kama huwezi na unataka kuwa unadinyadinya,andaa mazingira mapema. Kidogo kinakuhusu. Kuna wengine akilikuta likubwa hatoki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…