Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
😂😂Usiombe kukutana na hiyo kiumbe ya baridi😂😂😂 ila kapeace eti baridi km mamba!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Usiombe kukutana na hiyo kiumbe ya baridi😂😂😂 ila kapeace eti baridi km mamba!!!
Nitaanza kujaribu kumkumbatia 😂😂😂Ndo maana uko mbinafsi
Si unaweza kutetemeka sasa 😂😂😂😂😂Usiombe kukutana na hiyo kiumbe ya baridi
Dah siku hiyo si utaua mtoto wa mamkweZa muda mwingi sema kuna wakati tunazipuuza😂
Usijilazimishe inakujaga automatikale tuNitaanza kujaribu kumkumbatia 😂😂😂
Ooh huwa natreat vizuri sana hata siui...ma mkwe chakula kitamu huliwa kwa adamu zote😂😂😂Dah siku hiyo si utaua mtoto wa mamkwe
hahaha . acha ibaki fantasy ila ni future impossible tense!uje tufanye majaribio sasa 😉😉😃
Hao haifai hata kumgusaSi unaweza kutetemeka sasa 😂😂😂
Afu kweli babe wangu ananisemaga hiyo tabia ya kulala bila pembeni 😂😂😂Usijilazimishe inakujaga automatikale tu
Jamani mkwee,,,😂😂 natamani ningekuwa mwanaume sio siriOoh huwa natreat vizuri sana hata siui...ma mkwe chakula kitamu huliwa kwa adamu zote😂😂😂
Hajui technic za kukufanya ujisogeze kukumbatiwa,Afu kweli babe wangu ananisemaga hiyo tabia ya kulala bila pembeni 😂😂😂
Hakika wanaume tunafaidi, unakuta uko na litoto limekamilika hadi unasema...Baba muumba asante😂😂😂Jamani mkwee,,,😂😂 natamani ningekuwa mwanaume sio siri
Mmmh!! Kweli enhee??😂😂Hajui technic za kukufanya ujisogeze kukumbatiwa,
Unasahau km kuna kufaHakika wanaume tunafaidi, unakuta uko na litoto limekamilika hadi unasema...Baba muumba asante😂😂😂
KabisaMmmh!! Kweli enhee??😂😂
Hamna mkuuKuna maajabu mzee
Unawaza hivi ukifa utamwachia nani ale hiki kitu😂Unasahau km kuna kufa
Unawaachia kina kula kimasihara nchi ina vijana wa hovyo hiiUnawaza hivi ukifa utamwachia nani ale hiki kitu😂
Ukijaribu kuwaambua wanasema haupo romantiki... Huyu mromantiki mwenyewe wangemjua alivyo gaidihauko mwenyewe kiongozi, sema tunashindwa kuwaambia tu