Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Acha tuHahahah anatumia booster kuleta mashambulizi ghalani🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tuHahahah anatumia booster kuleta mashambulizi ghalani🤣
Utatuulia shemeji yetu weweKwakweli nikue niyaone... na ninavyopenda kujiachia nikilala mbona atajikuta miguu iko shingoni kwake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na toto liwe la moto sio baridi kama mambaWee acha kabisa, unakuta umekumbatia ka taco cha kishkaji ile ya wastani aaah...usiku unakuwa mfupi sana😂
Yani full kugandana au nyanda za juu kusino wanaielewa hii stareheHuko migombani ni unyama sana, 😀
Kuna maajabu mzee😃😃😃😃😃 dah
Cazee una nini leo? 😂😂😂Ukiamka mwepesiii kumbe umechezea mtalimbo
Lakini wanaume tunafaidi sana ukiwa uchaguzi umeenda sawa, toto likikupa mgongo...taco...likigeuka kwa mbele kifua kimejaa aaah😂😂😍😍😍Na toto liwe la moto sio baridi kama mamba
Haujaolewa bado itakuwa eti?Me napenda kulalia tumbo ndiomana sipendi hekaheka za mikumbatio 😜
Sijui ni mshamba
Nyie ni wapangaji mnaoshea chumba tuHahahahahah tunaotumia dabo deka tunacomment wapi 🤣
Eee 🤣🤣🤣Haujaolewa bado itakuwa eti?
Naona umelipenda sana hilo pouziiiHahahahah antena inagusa booster za sony xplod 🤣
Hahah🤣🤣🤣... inabidi nimtafute wa kulala nae tumekumbatiana hivyo 😃😃Hupendwi ikiwa ushamchoka huyo jamaa, ila kipindi mnatumiana mesej kama huduma kwa wateja bila kuchoka ulikuwa unatamani mda wote hata akae usoni umtazame.
Leo una genye kinoma maana koh koh kooohLakini wanaume tunafaidi sana ukiwa uchaguzi umeenda sawa, toto likikupa mgongo...taco...likigeuka kwa mbele kifua kimejaa aaah😂😂😍😍😍
😂😂😂 ila kapeace eti baridi km mamba!!!Na toto liwe la moto sio baridi kama mamba
Ndo maana uko mbinafsiEee 🤣🤣🤣
Na anatakiwa ajipange kwelikweli 🤣🤣🤣Utatuulia shemeji yetu wewe
Za muda mwingi sema kuna wakati tunazipuuza😂Leo una genye kinoma maana koh koh koooh
😂😂😂😂😂Leo una genye kinoma maana koh koh koooh