Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Umegundua nini?? 😜Kwenye hii sector ya kupandiana nimekugundua ni mtu wa aina gani..🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umegundua nini?? 😜Kwenye hii sector ya kupandiana nimekugundua ni mtu wa aina gani..🤣
Ngoja niendelee kuusubiri uje😊Wakati utafika tu tena ndo utakuwa unajisogeza ukumbatiwe
Hahahaha kabis Yaan🤣🤣🤣🤣 Hataree
Na mkianza kujambiana bila kuogopana mkatangaze ndoa kanisani
Unafunua shuka kiuwizi tu😂🤣🤣🤣 Na hii tabia tunayo sana ke tunajionea kawaida, kumbe tunateseka balaa
ni watu tu hawajaelewa mada....Cuddling nyote mnakua macho, mnaweza kua mmechill kwenye sofa watching movie huku mmekumbatiana na kupapasana kikawaida au mmelala kitandani huku unamchezea nywele zake au yeye anachezea kifua chako....
Lakini linapokuja suala la kulala, kupeana space muhimu ili kila mmoja aufurahie usingizi wake.
uje tufanye majaribio sasa 😉😉😃yaani kwa kuzuga hujambo!
Wee acha kabisa, unakuta umekumbatia ka taco cha kishkaji ile ya wastani aaah...usiku unakuwa mfupi sana😂Fimbo ya nyama sio mkwe!!! Wakubwa mnafaidi sana
Hiyo mkuu inatokeaga miezi sita ya mwanzo ya mapenzi. Baada ya hapo mnagandiana kidogo tu halafu mnaoneshana mgongo.Hili suala la kugandiana na mwanamke usiku wakati wa kulala kiukweli limenishinda maana nashindwa kabisa kupata usingizi.
Nishazoea kila mtu alale upande wake tena kila mmoja na shuka yake, masuala ya kushare shuka moja pia siyawezi.
At the end naambiwa siko romantic!
Mnaoweza haya mambo hebu tuambieni huwa mnafanyaje?
Glenn Youngpin jana kaangukia pua huko Virginia.Wee acha kabisa, unakuta umekumbatia ka taco cha kishkaji ile ya wastani aaah...usiku unakuwa mfupi sana😂
😂😂😂Hii starehe ni mahsusi kwa sehemu za baridi kwa dar ni kero ndo maana wengi wanavizia msimu wa mvua
Me napenda kweli mwili unakuwa free 🤣🤣ila mimi kulala hivihivi siwezi,, maana sarakasi zangu sio mchezo 🤣🤣ðŸ¤
Ni geshi ra porisi au mke na mume 🤣Utasikia, geukia huku basi😂
Huko migombani ni unyama sana, 😀Hii starehe ni mahsusi kwa sehemu za baridi kwa dar ni kero ndo maana wengi wanavizia msimu wa mvua
Me napenda kulalia tumbo ndiomana sipendi hekaheka za mikumbatio 😜Si lazima kila mkishtuka mkumbatiane mnaweza geuziana matako ilmradi mgusane na inafanya kazi sana kwa kapo mpya mkizoeana hii starehe hupungua au kuisha ila sio pa kufikia kugawana mashuka ama shuka moja kila mtu ajipumulie kivyake na ikifikia hatua hii lazima kuna mmoja au wote mna michepuko, penzi limekufa hapo
subiria popobawa nipite anga hizo utaipenda🤣Na me sipendi ndiomana nikilala hata night dress sivai sipendi bugudha 😂😂
We dr taratiibu 😂😂😂Nimekuimagine bila night dress umejiachia kwa kitanda [emoji2960]
Hahahahahah tunaotumia dabo deka tunacomment wapi 🤣Si lazima kila mkishtuka mkumbatiane mnaweza geuziana matako ilmradi mgusane na inafanya kazi sana kwa kapo mpya mkizoeana hii starehe hupungua au kuisha ila sio pa kufikia kugawana mashuka ama shuka moja kila mtu ajipumulie kivyake na ikifikia hatua hii lazima kuna mmoja au wote mna michepuko, penzi limekufa hapo
🤣🤣🤣 Shindwaaa popobawasubiria popobawa nipite anga hizo utaipenda🤣