Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie kabisa aache uzinzi...
Hivi ulikuja kupotelea wapi?Raha ya kulala wawili ni "kugandiana" mkuu
Nipo babu hujanitafuta tuHivi ulikuja kupotelea wapi?
Nimekuja Goba mara kibao sijakutia machoni kabisa. Sasa zamu yako ukuje BunjuNipo babu hujanitafuta tu
We mzee huna wa kukugandia asubuhi hii ushaamka[emoji1787]Mwambie kabisa aache uzinzi...
Sisi walinzi tunagandiana mchana....We mzee huna wa kukugandia asubuhi hii ushaamka[emoji1787]
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Goba natafuta nini mie? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimekuja Goba mara kibao sijakutia machoni kabisa. Sasa zamu yako ukuje Bunju
Sawa😂 fanya ukuye
Yani🤨🤣🤣🤣🙌Na hawasemi eti.
Kumbe ulivyoniambia unaishi Goba ulikuwa unanikanyagisha?Goba natafuta nini mie? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nitumie nauli nije Bunju
Joto lote la mchana jamaniSisi walinzi tunagandiana mchana....
Yani ka lijei fote na😃😃Yaaani unalala kama Li J
Haha 🤣🤣🤣🤭
Ndio maana wataalam wakatengeneza viyoyozi. Ila mgandishwe kwa supagluu
If possible 😉U need a glue
Hivi nilikwambia eeeh? Nilikuongopea basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe ulivyoniambia unaishi Goba ulikuwa unanikanyagisha?
Hata Mimi nilishashindwa nallaa upande wangu ,nikimtaka ndio namsogelea.Hili suala la kugandiana na mwanamke usiku wakati wa kulala kiukweli limenishinda maana nashindwa kabisa kupata usingizi.
Nishazoea kila mtu alale upande wake tena kila mmoja na shuka yake, masuala ya kushare shuka moja pia siyawezi.
At the end naambiwa siko romantic!
Mnaoweza haya mambo hebu tuambieni huwa mnafanyaje?
Nimekusamehe lakini sitakusahauHivi nilikwambia eeeh? Nilikuongopea basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niwie radhi babu