Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

Hata Mimi nilishashindwa nallaa upande wangu ,nikimtaka ndio namsogelea.

Biashara ya kupumuliana ilishaniahinda au mwingine unakuta ana joto sana Sasa Mimi Huwa siwezi na in fact ukiweza jifunika shuka lako ni nzuri zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…